Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Ukiweka ujinga uwe msingi wa maisha yako ni hatari sana. Ni bora ukaona ujinga wako ni changamoto ukaikabili na kusonga mbele. Akili zako ni finyu mno hazijai hata kwenye kijiko kidogo cha kukorogea chai.Mnafanya nini nyuma yake!! Msije mkananihiiii...