Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,295
- 755
Timu zipo nyingi duniani, ila wewe unafikiri ipi ndio inaongoza kwa ubora wa soka lake na mashabiki wake. Mi binafsi naona ni klabu iliyopo england jina lake linaanza na herufi A
timu 5 bora zaidi zipo South America. Sasa tuendelee:
6. Barcelona
7. Arsenal
8. ...
England hakuna ntimu yoyote ya maana. Wanacheza mpira wa magazeti. WaTZ tumegubikwa na England Mania tu. Tujadili Barcelona na Real Madrid hizi mwisho wa kokoto. Hizi timu zinapocheza (EL CLASSICO) dunia yote ya Soccer Stands still. Hawa jamaa kila kitu chao ni bora. Viwanja vyao ni mwisho wa manaeno (NOU Camp na Santiago Bernabue). Zina nyota wawili hawa wanatoka sayari nyingine (MESSI Na CR). Barcelona wana mfalme wa kutoa pasi duniani (XAVI).
Hizi ni klabu mbili ambzo kwa pamoja zimeshinda Champions league mara nyingi kuliko zote duniani.
Achaneni na wapiga mateke wa England.
Timu zipo nyingi duniani, ila wewe unafikiri ipi ndio inaongoza kwa ubora wa soka lake na mashabiki wake. Mi binafsi naona ni klabu iliyopo england jina lake linaanza na herufi A