Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,711
- 2,226
Serikali ya mbeya walikuwa waanze ilo zoezi mapema mara tuu baada ya kupata RC mpya.
Wakangoja bunge lianze ili Sugu awe hayupo jimboni wakidhani uwepo wake ungechochea vurugu zaidi.Wakashindwa kujua kuwa wana Mbeya hukisimamia kile anachoamini at any risk and cost!
Hatimae imebidi kumtumia mbunge kutuliza fujo!
Wakangoja bunge lianze ili Sugu awe hayupo jimboni wakidhani uwepo wake ungechochea vurugu zaidi.Wakashindwa kujua kuwa wana Mbeya hukisimamia kile anachoamini at any risk and cost!
Hatimae imebidi kumtumia mbunge kutuliza fujo!