Timbulo kumbe ni bebeo?
Duu
Ndo nani tena huyu?
Ndo nani tena huyu?
timbulo ndo mdudu gani?
Nyonga hyo pimbi hadi kufa
na wewe pia great thinker?hauna akili hata punje,mtu mwenye akili timamu hawezi kumuombea binaadamu mwenzake mabaya kiasi hicho.
Wewe ndio hauna akili, unadhani huo unga aliokuwa amebeba ni unga wa sembe au? ulikuwa unakuja kuuwa watu! mamia ya vijana ambao ndio nguvukazi ya Taifa wanateketea kwa ajili ya Wajinga wachache kama hawa wenye tamaa ya PESA CHAP CHAP! ningekuwa karibu ningemlima RISASI mjinga sana huyu!!!