Till Death Do Us Part!...Wanapendeza Hawa!

I like the couple especially.... Comr. Machel (RIP). Lakini sioni kwa nini swala la kuolewa mara mbili kwa huyu mama liwe big deal. I wouldnt encourage it to anybody either.

Unajua at times I wonder na hawa wasomi wetu na activist wetu wa human rights. Mama MACHEL HAPA ANAPONGEZWA ETI ALIKUWA FIRST LADY WA NCHI MBILI. Yet, tuko mstari wa mbele kupinga/discourage akina mama/baba kuolewa/kuoa mara ya pili. In otherwords, we encourage them to stay put and take care/support their families. Au huyu kwa vile aliolewa na ma-rais ndo inabidi awe treated kwa different standards? Angekuwa shangazi yangu wa kijijini I am sure..wa human rights tungekuwa mstari wa mbele..kulaumu uvunjaji wa haki za binadamu....Talk of double standards!

Na tusitake kudanganya hapa. Mandela kumuoa huyu mama hawezi kutwambia eti morally alikuwa above repproach! Huyu mzee, namzimia sana for the struggle of African`s dignity, lakini kitendo cha kumdump mke wake aliyemvumilia miaka yote hiyo gerezani...sioni kwamba ni mfano wa kuigwa. After all, Mandela is just a mortal man..so I cant fault him. Only napinga kuona watu wanataka kutuaminisha kwamba Graca Machel kuolewa na Mandela was something extra ordinary. I would rather say..ilikuwa ni..typical waafrika tulivyo......Heard of Zuma and his wives?

We got a long way to convince the skeptics about these human rights business and equality.
Ni kweli kwamba baada ya rais wa nchi yoyote kuapishwa suala la mkewe linakuwa la kitaifa (FL, kama wa JF) lakini pia isisahaulike kwamba suala hili lilianza kama suala la binafsi. Hivyo Mzee Mandela kuwa kiongozi hakumuondolei nafasi yake ya kuudhiwa katika maisha yake ya ndoa.

Inasemekana kwamba mama yetu Winnie wakati mzee akiwa lupango alikuwa anatumika na vijana na nadhani ilikuwa katika hali isiyojificha na hivyo kushusha hadhi ya mzee. Hivyo hizi hukumu zingine tuwe tunapunguza ubinafsi na ushabiki. Maisha ya ndoa yana misingi yake na itabaki hivyo bila kujali kama mama ni FL au mama wa kawaida kijijini.
 
Graca+1.jpg


Nazidi kugundua kuwa hii forum ni ya watu wenye akili timamu na wanaofanya utafiti na wanaweza kucompare mambo jamani... asenteni sana wakuu!
 
Hawa vijana waliosoma shule za VIDATU hawajui historia wala CURRENT AFFAIRS ; nilistaajabu sana wakati wa mazishi ya mwalimu Nyerere wakati mtangazaji mmoja wa TV aliposhindwa kumtambua marehemu mama Joan Wickens na mke wa Mondlane ,akabakia kubabaika na kuwaita wanawake wakizungu wazee nao wamekuja kumzika Mwalimu!!

Please! Do not put me in that group, I never attended any of those "vidatu" schools.

It was just a lapse of memory, lighten up! Why is it becoming such a big issue?
 
Ni kweli kwamba baada ya rais wa nchi yoyote kuapishwa suala la mkewe linakuwa la kitaifa (FL, kama wa JF) lakini pia isisahaulike kwamba suala hili lilianza kama suala la binafsi. Hivyo Mzee Mandela kuwa kiongozi hakumuondolei nafasi yake ya kuudhiwa katika maisha yake ya ndoa.

Inasemekana kwamba mama yetu Winnie wakati mzee akiwa lupango alikuwa anatumika na vijana na nadhani ilikuwa katika hali isiyojificha na hivyo kushusha hadhi ya mzee. Hivyo hizi hukumu zingine tuwe tunapunguza ubinafsi na ushabiki. Maisha ya ndoa yana misingi yake na itabaki hivyo bila kujali kama mama ni FL au mama wa kawaida kijijini.


Mkuu mimi sija-question haki ya Mandela kujitafutia bibi mwingine. After all hata kabla ya Winnie alikuwa na mwingine. Ninachokielezea hapa ni watu kuona kwamba kitendo cha Mandela kumuacha mke wake na kumuoa huyu mama kilikuwa kitendo cha Kishujaa. I would say not. Yes, in the same way siwezi kumhukumu Mandela kwamba ingebidi abaki na Winnie. Hapana. Ni uamuzi wake wa nani anataka kuwa naye. Lakini ukiangalia kwa undani..wengi tunaomuhukumu Winnie kwamba alicheat ni romours tuu...Ndo maana yule mama mpaka leo anaheshima kule SA na kwingineko. Hebu kwanza tujiulize Winnie alikuwa mke wa ngapi kwa Mandela? So if Mandela was "clean" basi alikuwa na haki ya kumhukumu mwenza wake. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Winnie alikaa akaendeleza mapambano wakati akilea watoto. Did she abandon them? She remained steadfast.

Kwa hiyo kama Mandela aliamua kumuacha, basi amuache lakini tuweke visingizio vya huyu alikwa mhuni nk.. Ila mimi nakwazika watu kumuona Mandela na Graca kama mashujaa....NA Winnie kuonekana kama villain. Its unfair.
 
Hawa vijana waliosoma shule za VIDATU hawajui historia wala CURRENT AFFAIRS ; nilistaajabu sana wakati wa mazishi ya mwalimu Nyerere wakati mtangazaji mmoja wa TV aliposhindwa kumtambua marehemu mama Joan Wickens na mke wa Mondlane ,akabakia kubabaika na kuwaita wanawake wakizungu wazee nao wamekuja kumzika Mwalimu!!

Hizi mentality ndizo zimetufikisha hapa tulipo. Kumtambua mtu kwa sura kuna uhusiano gani wa mtu kupambanua mambo?
 
Ni kweli kwamba baada ya rais wa nchi yoyote kuapishwa suala la mkewe linakuwa la kitaifa (FL, kama wa JF) lakini pia isisahaulike kwamba suala hili lilianza kama suala la binafsi. Hivyo Mzee Mandela kuwa kiongozi hakumuondolei nafasi yake ya kuudhiwa katika maisha yake ya ndoa.

Inasemekana kwamba mama yetu Winnie wakati mzee akiwa lupango alikuwa anatumika na vijana na nadhani ilikuwa katika hali isiyojificha na hivyo kushusha hadhi ya mzee. Hivyo hizi hukumu zingine tuwe tunapunguza ubinafsi na ushabiki. Maisha ya ndoa yana misingi yake na itabaki hivyo bila kujali kama mama ni FL au mama wa kawaida kijijini.


Lakini nafikiri Mandela ni mkristu na misingi ya ndoa ya kikristu hairuhusu kuuacha mwili na kuoa mwingine. Isipokuwa tu kwa uzinzi na uzinzi ni kitendo cha kuoa ama kufanya ngono na dugu yako wa damu.Hii ni original tafsiri kutoka ktk lugha ya mwanzo uliyoandika Bible.
 
Wiki iliyopita walipokuwa wanazungumzia historia ya Mandela wakati wa kuadhimisha miaka 20 ya kuachiwa huru kulikuwa na mazungumzo ya jinsi walivyoachana na former FL.

Kilichonishangaza na ambacho sikuwahi kusikia kabla kuna mama mmoja journalist wa kizungu aliongea kwamba katika siku za mwanzo baada ya kuachiwa huru alikuja boyfriend wake huyo former FL na kumchukuwa usiku na baadae kumrejesha asubuhi. Na hapo Mzee alikuwepo na waandishi walikuwepo kibao.

Yule mama aliyekuwa anaongea alisema wote walijisikia vibaya na hasa kwa vile walishasikia rumours kuhusu huyo kijana. Inawezekana taarifa zilimfikia Mzee na akaona bora asiadhiriwe na vijana.
 
Lakini nafikiri Mandela ni mkristu na misingi ya ndoa ya kikristu hairuhusu kuuacha mwili na kuoa mwingine. Isipokuwa tu kwa uzinzi na uzinzi ni kitendo cha kuoa ama kufanya ngono na dugu yako wa damu.Hii ni original tafsiri kutoka ktk lugha ya mwanzo uliyoandika Bible.
Yote yanayohusu maandiko hatubishani kwani ni mapokeo ya kiimani, lakini swali ni je ukimkuta mtu anaku cheat katika level inayozungumziwa hapa chini bado utazingatia maandiko? Sidhani hivyo.

Wiki iliyopita walipokuwa wanazungumzia historia ya Mandela wakati wa kuadhimisha miaka 20 ya kuachiwa huru kulikuwa na mazungumzo ya jinsi walivyoachana na former FL.

Kilichonishangaza na ambacho sikuwahi kusikia kabla kuna mama mmoja journalist wa kizungu aliongea kwamba katika siku za mwanzo baada ya kuachiwa huru alikuja boyfriend wake huyo former FL na kumchukuwa usiku na baadae kumrejesha asubuhi. Na hapo Mzee alikuwepo na waandishi walikuwepo kibao.

Yule mama aliyekuwa anaongea alisema wote walijisikia vibaya na hasa kwa vile walishasikia rumours kuhusu huyo kijana. Inawezekana taarifa zilimfikia Mzee na akaona bora asiadhiriwe na vijana.
Si rahisi kuvumilia hali kama hiyo, hivyo nadhani alichofanya mzee Mandela kilikuwa sahihi kwa wakati wake. Kwamba mtu alifanya mambo fulani mazuri ndio iwe kigezo akifanya uvundo wa kuudhi bado utamvumilia tu. Hiyo ni ngumu binadamu ameumbwa kufanya mambo mazuri wakati wote.
 
Mzee N. Mandela na Graca waliunganishwa na Mungu na marafiki wa karibu kama kina D. Tutu. Hili lilitokea baada ya Mzee Mandela kuwa anabakia mpweke nyumbani kwake kuliko alipokuwa jela. Jambo hili lilionekana lingesababisha uharaka wa kifo chake. Mama Graca Maschel alifiti nafasi ile ya kuliwazana na Mzee Mandela kuliko mwanamke mwingine yeyote. Wako wengi wanaoamini kuwa pasingekuwepo kuunganishwa watu hawa mmoja wao au wote wangeshatoweka. Kutokuwepo kwao mapema vile kungetunyima michango ya busara nyingi sana ambazo wamechangia kwa jamii yote ya kimataifa na haswa kwa Waafrika. Wale ambao watatafakari kwa makini sana picha zilivyowekwa hapa watatambua kuwa zina maana kubwa kuliko unavyoweza kudhani ungeliweza kuchukua nafasi ya yeyote kati yao, Mama Graca (ukiwa mwanamama) au Mzee Mandela (ukiwa mwanaume). Huyu Mama si wakawaida, na wala asijesema mtu hapa eti aliacha kuwatunza watoto akakimbilia kuolewa na Mandela, wacha kabisa! She is a very responsible woman. Nina hakika hata mtoto ukiwa kweli unampenda Mama yako utafurahi kumwona naye anaishi vizuri baada ya majonzi yaliyomfika ya kufiwa na Mumewe. Hali kadhalika watoto wa Mzee Mandela, watakuwa wanafurahi kuona upweke umemtoka baada ya kumpata anayemjali na kuwa naye muda wote. Huu ujumbe wa hizi picha ni muhimu kuliko michango kadhaa iliyotangulia inavyodhania. Take your time and grasp the message again! and again! Asante Mkuu kwa kutuletea hizi, haswa hiyo ya kwanza. Zimenikumbusha Mzee Samora Machel enzi zake akiishi pale maeneo ya Chang'ombe maduka mawili.
 
Mzee N. Mandela na Graca waliunganishwa na Mungu na marafiki wa karibu kama kina D. Tutu. Hili lilitokea baada ya Mzee Mandela kuwa anabakia mpweke nyumbani kwake kuliko alipokuwa jela. Jambo hili lilionekana lingesababisha uharaka wa kifo chake. Mama Graca Maschel alifiti nafasi ile ya kuliwazana na Mzee Mandela kuliko mwanamke mwingine yeyote. Wako wengi wanaoamini kuwa pasingekuwepo kuunganishwa watu hawa mmoja wao au wote wangeshatoweka. Kutokuwepo kwao mapema vile kungetunyima michango ya busara nyingi sana ambazo wamechangia kwa jamii yote ya kimataifa na haswa kwa Waafrika. Wale ambao watatafakari kwa makini sana picha zilivyowekwa hapa watatambua kuwa zina maana kubwa kuliko unavyoweza kudhani ungeliweza kuchukua nafasi ya yeyote kati yao, Mama Graca (ukiwa mwanamama) au Mzee Mandela (ukiwa mwanaume). Huyu Mama si wakawaida, na wala asijesema mtu hapa eti aliacha kuwatunza watoto akakimbilia kuolewa na Mandela, wacha kabisa! She is a very responsible woman. Nina hakika hata mtoto ukiwa kweli unampenda Mama yako utafurahi kumwona naye anaishi vizuri baada ya majonzi yaliyomfika ya kufiwa na Mumewe. Hali kadhalika watoto wa Mzee Mandela, watakuwa wanafurahi kuona upweke umemtoka baada ya kumpata anayemjali na kuwa naye muda wote. Huu ujumbe wa hizi picha ni muhimu kuliko michango kadhaa iliyotangulia inavyodhania. Take your time and grasp the message again! and again! Asante Mkuu kwa kutuletea hizi, haswa hiyo ya kwanza. Zimenikumbusha Mzee Samora Machel enzi zake akiishi pale maeneo ya Chang'ombe maduka mawili.

Teh teh teh teh
mie siamini hivyo naamini ni shetani aliyewaunganisha.
maana imeandikwa yeyote atayemwacha mme/mke isipokuwa tu kwa uzinzi basi mtu huyo atakuwa ana zini.
 
Unajua at times I wonder na hawa wasomi wetu na activist wetu wa human rights. Mama MACHEL HAPA ANAPONGEZWA ETI ALIKUWA FIRST LADY WA NCHI MBILI. Yet, tuko mstari wa mbele kupinga/discourage akina mama/baba kuolewa/kuoa mara ya pili. In otherwords, we encourage them to stay put and take care/support their families.

Hakuna mahali wanaposema mtu anapokuwa mjane asiolewe, hata misahafu inasema yafaa mjane ajitunze akiona vipi na olewe!!!!!
Wala hakuna activists wanaobebea bango haki ya mtu kuolewa hata mara 10 kama mazingira yameruhusu! Ni haki ya kibinadamu kupenda na kupendwa na kufaidi yote yatokanayo na mahusiano ya wawili
 
You don't know what you are talking about Masanja, this lady was widowed at a tender age...ulitegemea aishi maisha ya namna gani? Yeye si binadamu? It's damn difficult, man, take it from me.

Kuna mahitaji ya msingi ya binadamu moja wapo ni "uwenza", huyu mama angekuwa na affair tu, ingekubalika?

Ni wewe na nani mko msari wa mbele kupinga watu kufunga ndoa mara ya pili?

Kwa upande wa Mandela, ni tofauti kwa sababu yeye alikuwa peke yake kutokana na talaka. Lakini pia tuangalie mazingira ya talaka yenyewe

Big up Injinia, naona huyu Masanja amepotoka kidogo. Huyu Mama Machel alikuwa mjane katika umri mdogo, na lazima maisha yaendelee na si vibaya kwake kuolewa na anayempenda. Kumbuka Mama Jacquline Keneddy, katika umri wake mdogo, baada ya kufa mmewe alikuja olewa na Onasis. Kwa watu wazima kama Mama Nyerere tukisikia wameolewa tena ndipo twaweza hoji, huyu bibi vipi. Lakini kwa vijana wanaopoteza wenzi wao kwa mapenzi ya Mungu, acha wawe huru kuolewa maisha yaendelee. Masanja, badili mtazamo ndugu yangu, hii ni karne ya 21.
 
Teh teh teh teh
mie siamini hivyo naamini ni shetani aliyewaunganisha.
maana imeandikwa yeyote atayemwacha mme/mke isipokuwa tu kwa uzinzi basi mtu huyo atakuwa ana zini.

Kwani Mandela alimuacha Winnie kwa sababu ipi? Si hiyo ya uzinzi!
 
PJ umenikumbusha mbali sana kuhusu hiyo picha ya Samora. Nakumbuka siku aliyofariki nilikuwa Mbeya kikazi na kifo chake kilinishtua sana maana ni Kiongozi ambaye nilikuwa namzimia sana katika Viongozi mbali mbali wa Afrika.

Sawa Mkuu BAK.

Huyu Samora aliishi sana Iringa, na kuna nyumba yake pale hata leo.
Mimi kipindi hicho anafariki pia nilikuwa Mbeya Primary...Huenda tulijuana Mkuu!

Watanzania wengi walilia na kuzimia utadhani alikuwa kiongozi wa kitaifa hapa kwetu. Nakumbuka kuna kiongozi wa kwaya shuleni petu alikimbizwa kwa machela hADI Dispensary ya jirani , kisa amezimia wakati anaimbisha wimbo maalum uliotungwa kwa maombolezo ya Samora!..huh!

Lakini kilichonivuta zaidi hapo ni haiba ya huyo mama Graca kwenye hiyo picha ya siku ya kuoana!...Anasomeka ki-Afrika sana!..Nice!
 
Hawa vijana waliosoma shule za VIDATU hawajui historia wala CURRENT AFFAIRS ; nilistaajabu sana wakati wa mazishi ya mwalimu Nyerere wakati mtangazaji mmoja wa TV aliposhindwa kumtambua marehemu mama Joan Wickens na mke wa Mondlane ,akabakia kubabaika na kuwaita wanawake wakizungu wazee nao wamekuja kumzika Mwalimu!![/QUOTE]

Sasa kilichokushangaza nini? Kama hawajui ulitegemea awaite nani? Yaani kuwajua hao ndio tayari angekuwa mjuzi wa historia na Current Affairs! changia mada at hand kama huwezi kaa kimya.
 
Masanja,

Unadhani uko sahihi juu ya maandishi hapo kwenye red?
Una uhakika gani kuwa huyu mama alimvumilia Mandela hadi siku alipotoka?

Na zile scandal za vijana Maserengeti Boys zinazomgubika huyu mama zina uzuri gani kwa vipimo vyako?
issue ni hivi PJ, kama mzee aliweza kuvumilia shida za ubaguzi usioweza kuzungumzika, akaweza kuwasamehe hata waliomtesa na kuwatesa watu wake, inakuwaje alishindwa kumsamehe mkewe? 27 yrs si mchezo, it is understandable bana, kwani yy malaika hadi avumilie tuuuu!!
Hata kama ni Mandela mwenyewe, to be honest, angetafuna chipukizi tu!
 
issue ni hivi PJ, kama mzee aliweza kuvumilia shida za ubaguzi usioweza kuzungumzika, akaweza kuwasamehe hata waliomtesa na kuwatesa watu wake, inakuwaje alishindwa kumsamehe mkewe? 27 yrs si mchezo, it is understandable bana, kwani yy malaika hadi avumilie tuuuu!!
Hata kama ni Mandela mwenyewe, to be honest, angetafuna chipukizi tu!
Unaweza ukavumilia mambo yote kama alivyofanya Mandela, lakini ishu inayohusu uzinzi, na iko proved beyond reasonable doubt, hiyo haina msamaha!

Bible, kwa mfano, inasema atendaye uzinzi anafanya dhambi JUU YA MWILI WAKE MWENYEWE!...yaani ni kuiadhibu sana nafsi yako mwenyewe!..

Sasa unategemea HURUMA GANI TENA kutoka kwa 3rd parties, kama mwenyewe unajichukia?

Lets stand in the shoes of this old-man nyie mabwana!
 
Back
Top Bottom