tiGO!

Haluuuuuuuuuuuuu,
wanatakiwa kuwaelimisha jambo moja la usafi nao pia muhimu.

Mambo ya vidole gumba kujiexpresssssss isiwasahaulishe na usafi pia.

lakini mhh!!!!!
 
mtoa hoja hii inasaidia nini? ebu nenda katoe maoni hoja yako hiyo katika mitandao ya kitoto na wenye mawazo finyu.hii ni forum na sii hja kama ukiyotoa, mambo yoote tz umeshindwa kutoa lolote unasema kuhusu kunya vichakani? au unadhani hii ni jamii commedy?tumia akili
 
mtoa hoja hii inasaidia nini? ebu nenda katoe maoni hoja yako hiyo katika mitandao ya kitoto na wenye mawazo finyu.hii ni forum na sii hja kama ukiyotoa, mambo yoote tz umeshindwa kutoa lolote unasema kuhusu kunya vichakani? au unadhani hii ni jamii commedy?tumia akili

wewe inaonyesha kwanza sio mzima, kwanza this is the right place.
 
Back
Top Bottom