Hi guys!! mi mkali ila humu nimeingia karibuni, skia!! kama ulikuwa unatumia modem ya tigo free jaribu tena kutumia na ile lyn ambayo ulikuwa unasurf bure!! mi nasurf bure sema spidi ni ndogo nahic wamerudisha apn zao za zaman sema wamepunguza bandwidth (speed) yao. oa