Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Jamani kampuni ya tigo nahisi kuna deni wanalodaiwa sasa wameamua kulilipa kwa kuwapora wateja. Kwa mara ya tatu leo nimeweka pesa kwenyi line yangu ya tigo na kesho yake kukuta imekombwa. Nilijishuku huenda nimetumia bila kujua kwa mara ya kwanza, mara ya pili bado nikawa najishuku, sasa hii ya tatu ni jana nilitia buku nikasema hii nitaimonita kwa tahadhari. Nimechungulia salio leo nikakuta zimebaki sent 85 wakati sikufanya chochote na hii handset iliyokuwa na line ya tigo.
TUTAFIKA?
.
TUTAFIKA?
.