The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
Kwanza niseme nimefurahishwa mno na kampuni
ya TIGO jinsi wanavyo dhibiti soko lao na kuwabana wapinzani wao hadi mwisho....
kama hakuna sheria yeyote iliyovunjwa nafikiri hii kampuni ya TIGO
wanastahili zawadi au tuzo fulani....
hasa kwa kuwasaidia watanzania wa kawaida....kupata huduma...
na pili kwa kuonyesha ubunifu na ujanja wa kibiashara ambao unapaswa
kuigwa........
now swali ni je yote wanayoyafanya TIGO NI FAIR KWA INDUSTRY??????
KUNA HABARI VODA HUENDA WAKAFUNGA TAWI LA TANZANIA.....
JE IS IT A GOOD NEWS FOR COMPETITION IN THE FUTURE........??????
HIVI SHERIA ZA USHINDANI ZINASEMAJE NA ZINAFUATWA KWELI?????
JE IN THE LONG RUN IS IT GOOD FOR CONSUMERS?????
JE TIGO WANAPATA FAIDA??????
NA SERIKALI NA TAIFA KUNA FAIDA HASA KAMA VODA WATAFUNGA VIRAGO
KAMA TETESI ZINAVYOSEMA????????
WAJUZI MKITUELEWESHA ITAKUWA SAFI SANA.....
ya TIGO jinsi wanavyo dhibiti soko lao na kuwabana wapinzani wao hadi mwisho....
kama hakuna sheria yeyote iliyovunjwa nafikiri hii kampuni ya TIGO
wanastahili zawadi au tuzo fulani....
hasa kwa kuwasaidia watanzania wa kawaida....kupata huduma...
na pili kwa kuonyesha ubunifu na ujanja wa kibiashara ambao unapaswa
kuigwa........
now swali ni je yote wanayoyafanya TIGO NI FAIR KWA INDUSTRY??????
KUNA HABARI VODA HUENDA WAKAFUNGA TAWI LA TANZANIA.....
JE IS IT A GOOD NEWS FOR COMPETITION IN THE FUTURE........??????
HIVI SHERIA ZA USHINDANI ZINASEMAJE NA ZINAFUATWA KWELI?????
JE IN THE LONG RUN IS IT GOOD FOR CONSUMERS?????
JE TIGO WANAPATA FAIDA??????
NA SERIKALI NA TAIFA KUNA FAIDA HASA KAMA VODA WATAFUNGA VIRAGO
KAMA TETESI ZINAVYOSEMA????????
WAJUZI MKITUELEWESHA ITAKUWA SAFI SANA.....