TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
Kumekuwa na usumbufu mwingi wa mtandao huu wa Tigo toka wiki iliyopita, unampigia mtu simu kupitia mtandao huu unawekewa muziki tu na kuambiwa mtu huyo unayempigia hapatikani wakati simu yake iko hewani, unawapigia "customer services" bado unawekewa muziki tu na kuambiwa haipatikani. Hali hii imetokea kwa watumiaji wengi wa mtandao huu kuanzia wiki iliyopita.
Kibaya zaidi sijasikia kuomba msamaha kutoka kwa wakuu wa mtandao huu wa TIGO kuhusu usumbufu tunaopata watumiaji.
Kibaya zaidi sijasikia kuomba msamaha kutoka kwa wakuu wa mtandao huu wa TIGO kuhusu usumbufu tunaopata watumiaji.