Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 6,829
- 10,360
Watu wamekuwa wakijiuliza ni benki gani yenye huduma mbovu zaidi?.
Hii ni kwa vile wamechoshwa na foleni na usumbufu usio wa lazima wakati mwengine katika mabenki.
Nionavyo mimi wenye kuleta foleni mara nyingi ni wateja wanaohitaji kutoa pesa ndogo ndogo mpaka shilingi elfu tano.Sasa hawa hawana sababu tena ya kutumia huduma za kibenki.Suluhisho lipo kwenye huduma za simu za mikononi mwao.
Sasa hivi tuna M-Pesa na Tigo-Pesa.Kwa huduma hizi vituo vya kupatia pesa ndogo ndogo vitakuwa kila pahala kwenye mawakala wa mitandao hiyo;ya Tigo na Vodacom.
Hii huduma ya M-Pesa kwa mfano ambayo imetangulia kidogo, kwa kule Kenya ina nguvu sana kiasi kwamba maduka mengi makubwa yana vituo ndani yake.Wateja huwa wananunua bidhaa kwa huduma hii bila kuwa na pesa mkononi.
Hii ni kwa vile wamechoshwa na foleni na usumbufu usio wa lazima wakati mwengine katika mabenki.
Nionavyo mimi wenye kuleta foleni mara nyingi ni wateja wanaohitaji kutoa pesa ndogo ndogo mpaka shilingi elfu tano.Sasa hawa hawana sababu tena ya kutumia huduma za kibenki.Suluhisho lipo kwenye huduma za simu za mikononi mwao.
Sasa hivi tuna M-Pesa na Tigo-Pesa.Kwa huduma hizi vituo vya kupatia pesa ndogo ndogo vitakuwa kila pahala kwenye mawakala wa mitandao hiyo;ya Tigo na Vodacom.
Hii huduma ya M-Pesa kwa mfano ambayo imetangulia kidogo, kwa kule Kenya ina nguvu sana kiasi kwamba maduka mengi makubwa yana vituo ndani yake.Wateja huwa wananunua bidhaa kwa huduma hii bila kuwa na pesa mkononi.