Wakuu,natujadili wizi nwa Tigo,mie sio kama nawaharibia Biashara yao,ila Dah, hawa Jamaa ni Kiboko yani,Full Waiz
Wakuu,natujadili wizi nwa Tigo,mie sio kama nawaharibia Biashara yao,ila Dah, hawa Jamaa ni Kiboko yani,Full Waiz
<br /><font size="3"><font color="#000080">Great thinker Brano,<br />
Nilidhani ungeeleza wanajamvi </font><font color="#FF8C00">tiGO</font><font color="#000080"> wamekuibia Nini katika huduma ipi na lini, Nadhani hapo ingekuwa ni starting point ya huo mjadala unaotaka otherwise sred yako imekaa kimajungu zaidi!<br />
<br />
Kukanusha hilo ni vema ukawa specific na Ulichoibiwa na si ku-generalize. </font></font>
wanjiandaa kufungasha virago so wanakula kwa kwenda mbele
Great thinker Brano,
Nilidhani ungeeleza wanajamvi tiGO wamekuibia Nini katika huduma ipi na lini, Nadhani hapo ingekuwa ni starting point ya huo mjadala unaotaka otherwise sred yako imekaa kimajungu zaidi!
Kukanusha hilo ni vema ukawa specific na Ulichoibiwa na si ku-generalize.
<br />tiGo ni WAIZI,....na sio wao tu ila wao(tigo) wanaongoza kwa kuiba (kamali)<br />
Ukikopa hela,say 800/= na ukapiga simu say dakika moja tu inakua imeisha,...<br />
still bila aibu wanajitangaza eti sh.1 kwa sekunde?<br />
<br />
Agggr,sitaki kuandika sana nitapewa ban maana nimeona hii topic nimekumbuka<br />
uwizi wao
Msaada jinsi ya kujitoa huduma ya kukopa TIGO .