tiGo ni soo - waja na sent 50 (thumni) kwa sekunde

Kwa kutumia hizo 'hisabati' zako unataka kuniambia bei ya kupiga simu Tigo bado ni shilingi 1 (kwa sababu 0.5 is approximately 1)? Kama ni hivyo why the hell should they shout thumuni, thumuni? Be careful with maths my friend:D!

Naomba jibu sahihi la hii hesabu 0.5(thumuni) + 0.5(thumuni) = Voda na kampuni nyingine.

Mtu akikwambia anatoa 0.5 kwa dk kwahiyo ukipiga dk2 ni sawa na Voda?? au ni Approximately??
 
internet wameiga sasa wakimaliza na sumuni wanaleta video call je wengine mupo hapooooooo

Internet rates/tariffs za Tigo zipoje kwa sasa mkuu? Nataka kununua modem ya Tigo kwa ajili ya laptop yangu, naweza kuipata wapi? Msaada please!
 
hebu watu wa hesabu tujuzeni......hiyo 50CENT sawa na sh'ngapi za ukweli?HAIWEZI KUWA SHING MOJA KWELI? AU CENT 90?
 
Naomba jibu sahihi la hii hesabu 0.5(thumuni) + 0.5(thumuni) = Voda na kampuni nyingine.

Mtu akikwambia anatoa 0.5 kwa dk kwahiyo ukipiga dk2 ni sawa na Voda?? au ni Approximately??

Sijakuelewa vizuri mkuu (sioni uhusiano wa post yako na yangu upo wapi)! Unaweza kufafanua kidogo?
 
Hawa jamaa wa tigo ni wafanyabiashara wazuri sana, so far sijawa na uhakika kama wanawasaidia watanzania au la
 
Picha ya tangazo la tigo hii hapa.
Picha: Michuzi Junior Blog

image004.jpg

 
Price war itaumiza kampuni moja hapo especially ile ambayo customer base yake ni ndogo
 
Hawa jamaa wa tigo ni wafanyabiashara wazuri sana, so far sijawa na uhakika kama wanawasaidia watanzania au la

wanasaidia jamii sana tu mkuu, esp. upcountry. waweza google habari zao ujisomee mwenyewe ... me nashukuru wametuondolea ulimbukeni wa gharama za simu ... wao wanarudisha kwa wananchi (watumiaji) sasa.
 
Back
Top Bottom