tiGo ni soo - waja na sent 50 (thumni) kwa sekunde

tigo walianza kupoteza revenue walipoanza kurudisha garama ktk huduma nyingi, mara wakaongeza bei ya extreme, mara wakafuta extreme wakaja na ka upuuzi wa mini extreme, na tariff za kupiga tigo kwenda mtandao mwingine ndhan inabaki palepale sh.12 kwa sekunde, still warudishe huduma zile zingine, nadhan toka kelvin twisser aondoke upande wao wa marketing umekua dhaifu nadhan watamkumbuka yule mshkaj, aliinua sana tigo ila tu kwa vile alikua mswahili hakupata sifa anazostahili!
 
mkuu unaongea masaa mangapi kwa siku?? 20hr halafu 0.5 tsh per second hazikutoshi?? you must be kiddin!!!!

Kwenye radio wanasema siku nzima! to me, siku nzima ina masaa 24 na sio 20! the same hata matangazo ya Voda (ya radio/tv) yalikuwa vivyo hivyo! i know wanamalizia kwa kusema 'terms and conditions apply' lakini huu ndio nauita usanii!
 
Nakubaliana na Ngoma Nzito kwani Voda wanasema eti Cheka Time lakini muda unaotakiwa kupiga ili kufaidi promosheni hiyo hupati line. Wizi Mtupu!!!!!!!!!!!!Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!
 
mshikaji unataka kuanzisha ligi au?? get your facts straight mkuu!!

Mkubwa,
Sijaja kwa hilo, nachangia hoja tu!


Tigo bei rahisi lakini upatikanaji wa simu, usikivu, customer care ni matatizo makubwa.
Madai yako sio ya kweli. Huduma kwa wateja kwa Tigo unalipia shilingi 100 ndipo unahudumiwa, huwa inapatikana kila wakati. Hali ni mbaya sana Zain, kwenye upande wa huduma kwa wateja. Usikivu wa Tigo hauna matatizo. Simu zinapatikana muda wote, unless unayempigia awe amezima au hana network.

safi sana ombi langu kwa mungu ni hili eeh mungu ushindani huu usiichie kwenye makampuni ya cm tu yaanzishwe na tanesko pia amen
Amen!
mmmh.....nangoja kwanza....hata leo asubuhi nimeisikia redio one lakini nitaamini vizuri kesho

Thomas
 
mnapobanwa mbavu lazima mtafute visingizio ... usisikilize uzushi mkuu (vodacom propaganda), hayo mambo mbona ni historia mkuu?? me huwa nalonga tu bibi na babu zangu upcountry bila matatizo yoyote yale ... halafu kichekesho hicho kijiji voda huwa haipatikani .... phuuuh ha ha ha ha ha!
kweli, niliwahi kutembelea baadhi ya vijiji vya Makete..huko ilikuwa tiGO tu wengine walikuwa hawapatikani...it was strange...
 
Kwenye radio wanasema siku nzima! to me, siku nzima ina masaa 24 na sio 20! the same hata matangazo ya Voda (ya radio/tv) yalikuwa vivyo hivyo! i know wanamalizia kwa kusema 'terms and conditions apply' lakini huu ndio nauita usanii!
Kama umesoma Hisabati unaelewa kuwa kubwa au sawa na 0.5 inakadiriwa kuwa 1. ndio maana 20 hours inakadiriwa kuwa siku nzima.
 
Kama umesoma Hisabati unaelewa kuwa kubwa au sawa na 0.5 inakadiriwa kuwa 1. ndio maana 20 hours inakadiriwa kuwa siku nzima.

Kwa kutumia hizo 'hisabati' zako unataka kuniambia bei ya kupiga simu Tigo bado ni shilingi 1 (kwa sababu 0.5 is approximately 1)? Kama ni hivyo why the hell should they shout thumuni, thumuni? Be careful with maths my friend:D!
 
Kumbe nao wasanii tu kama voda!

tigo walianza kupoteza revenue walipoanza kurudisha garama ktk huduma nyingi, mara wakaongeza bei ya extreme, mara wakafuta extreme wakaja na ka upuuzi wa mini extreme, na tariff za kupiga tigo kwenda mtandao mwingine ndhan inabaki palepale sh.12 kwa sekunde, still warudishe huduma zile zingine, nadhan toka kelvin twisser aondoke upande wao wa marketing umekua dhaifu nadhan watamkumbuka yule mshkaj, aliinua sana tigo ila tu kwa vile alikua mswahili hakupata sifa anazostahili!

mkuu hufahamu unachoongea .... kindly find watu wanaofanya kazi na twissa sasa hivi zain au waliokuwa naye marketing tiGo then pata ukweli; the driving brains are always hidden .... usione mtu anapewa karatasi aka-present kwenye media a.k.a kuuza sura ukadhani yeye ndio kichwa ... dude, you are deadly wrong!! Vichwa viko behind the scene mkuu ... na wala huwa havinaga mashauzi ... hawa wengine wanatafuniwa tu! otherwise kwa mtazamo wako, every PR / marketing officer wa makampuni yetu ndio watakuwa vichwa basi!! phhuuf ha ha ha ha ha!!
 
Hivyo ni viwango vinavyo stahili kutozwa, wametuibia sana mabepari hawa! Gharama za simu zinatakiwa kuwa chini zaidi ya hapo.
 
Kwa Tigo sio swala la kushangaa sasa VODA na Zain Lazima wawe na kizunguzungu ila Zantel ni sleeping Giant
 
mshikaji unataka kuanzisha ligi au?? get your facts straight mkuu!!

Mkubwa Madabwada msamehe bure kwani hajui alitendalo yeye si amenunua simu juzi wakati sisi tokea enzi za Mobitel,simu poa,Buzz na sasa Tigo sasa ukiangalia kuhusu zantel wezi tu hakuna cha sumuni wala nini tigo ndo wanataka kuleta kitu kipyaaaaaaa wameleta shs 1 kwa sekunde watu wameiga wameleta exitrem wameiga meseji za bure wameiga internet wameiga sasa wakimaliza na sumuni wanaleta video call je wengine mupo hapooooooo
 
Back
Top Bottom