Hawaui Mkuu!kwa mtindo huo watauwa bendi completely
kijana acha chai!ww umesikia wap na hizo redio mbao?
Tariffs hizo tayari zinatumika na wateja wa Zantel, kwa hiyo sio kitu kipya na haiwezi kuwa surprising iwapo Tigo wataiga Zantel. Hata shilingi moja kwa sekunde ilianza na Zantel kabla haijaigwa na hawa wengine.
If marginal revenue = marginal cost, wanaweza kufanya hivyo kama wameamua kutoa huduma tu bila kutengeneza faida.
Tigo bei rahisi lakini upatikanaji wa simu, usikivu, customer care ni matatizo makubwa.
Thumni kwa sekunde kwa saa 20 kwa siku. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
TiGo
Express yourself.