GODON SPEE
Member
- Jan 15, 2012
- 20
- 4
Yap yap!hapa hakuna bure bali husaidia kupunguza gharama kwa wale 2naopenda kuchat sms,well then mpango ni hivi.wote 2nafaham dat tigo unapo2ma sms 10 wanakupa sms 200 bure,2kizingatia kuwa kwa bei ya kawaida ya sms ni tsh 49 kama sikosei.sasa hapa ili kupunguza cost ni hivi 2naweza pata hizo sms 200 kwa ku2mia tshs.200,kivip?mpango ni kuactivate text kwenye facebuk yako na kutext wa2 kumi kwa message za facebuk kwenye simu ambazo hucost tshs.20 kwa kila moja hivyo sms 10 itakuwa sawa na shs.200 na kufikia hapo tigo hawatakuwa na sababu ya kukutosa sms 200.japo hujalipa sawa na yule aliye2ma sms kwa namba za simu na sio fb.Haleluya!hapo sh200 yako itakuwa ina2mika ku2ma hzo sms 200 uzopewa hvyo utakuwa una2mia sh.1 kwa kila sms 1.am done nahtaj maon yenu