Karikenye
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 564
- 279
TiGO kumbukeni mlipokuwa mobitel, kitu gani kiliwatokea walipokuja VODACOM? mpaka sasa voda anawateja kibao! Mlikuja vizuri kama TiGO sasa sifa zimewalevya au mishahara haiwatoshi? Nadhani kuna Management Crisis ndani ya TiGO, tutawapotea... Mke wangu hataki tena habari ya TiGO yupo Airtel... You are very boring tigo, very very boring!