MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Hii ni mara ya pili huu mkampuni wa simu unapoteza network bila maelezo wala kuombana radhi..Watu wanaitumia kampuni kwa malengo mengi ikiwa sasa ni bank ya mkononi pia.
Zanzibar tangu jana hakuna kitu kinaitwa Tigo network zaidi ya kuona mabango barabarani..
Iz crezy end i am fedap on dhis kampany....
Zanzibar tangu jana hakuna kitu kinaitwa Tigo network zaidi ya kuona mabango barabarani..
Iz crezy end i am fedap on dhis kampany....