Tigo wanapiga sana kelele kuhusu huduma yao mpya ya data, msiingie mkenge hawa jamaa bado hawajajipanga, coverage ni ndogo sana, ukiwa maeneo karibu na city center hamna shida, lakini ukishatoka nje kidogo kama maeneo ya mbezi, tegeta, kigamboni, mbagala coverage haijafika pia ukitumia kidogo unapa msg eti umeshafika kiwango cha download limit speed itapungua, TIGO JIPANGENI kwanza ndo muanze kupiga kelele