Tigo Inaua Kimya Kimya

Mimi nilishawahi kuweka salio la tigo kwa njia ya nmb mobile, pesa wakakata na salio hawajaweka hadi leo ukipiga cm yako inaita haipokelewi na hela wanakata, wezi sana hawa tigo
 
usiwaguse kwenye huduma ya tigo-pesa hawafai kabisa hawa.mi nshahamia airtel
 
Jamani, hivi unawezaje kujitoa kwenye promotion ya Tshs 500 kwa dk 10 na sms 100? Kinanchouzi ni kuwa wanakata kila siku na lazima upige kwenda Tigo tu


Mimi nilishawahi kuweka salio la tigo kwa njia ya nmb mobile, pesa wakakata na salio hawajaweka hadi leo ukipiga cm yako inaita haipokelewi na hela wanakata, wezi sana hawa tigo
 
Mkuu siku nyingine kama utataka kuwasiliana na customer care Airtel usipige 100 watakuzungusha mpaka mwisho mara oooh simu yako ni ya mhimu lkn kwa sasa mhudumu anaongea na simu nyingine mara vile. Tumia hii namba 0784105400 hii nayo ni namaba ya customer care ya Airtel, ukipiga ni fasta anapokea mtu hapo hapo bila kulemba. Ni na hukatwi chochote but it is unfortunately hawaidsclose kwa watu kwa sababu ni namba ya corporate customer care
 
Kama hatutaanzisha mpango kamambe wa kuhakikisha kuwa wateja wengi wa mtandao wa TIGO wanahama kwa wkati mmoja. Hawa mabwana hawatashtuka na kupunguza bai.

Tukiweza kuwaadabisha kampuni ya TIGO hata makampuni mengine hayo yatapata adabu na kujipanga kutoza gharama ndogo.
Kwa kweli watanzania tunannyanyaswa sana na gharama za mitandao ya simu.

Upigaji simu na matumizi ya internet yamekuwa anasa na hivyo hayatumiki kwa ajili ya shughuli endelevu za kijamii na kiuchumi.


Wakuu nawasilisha!!!!
 
HIVI ITUMIKE LUGHA IPI IELEWEKE KWAMBA TIGO WANAWAHUJUMU WATUMIAJI WAKE?? Mi Najitosa naanza kuandika magazetini labda Huku TCRA hawafungui Jf,
 
ipo hivi katika ile product cycle tigo ipo kwenye decline stage. Hawafai tigo we fikiria nimenunua hizo sms zao ila nikituma zinakuwa failed. Haya kuna wakati nina salio kwenye simu ila nikipiga simu naambiwa sina salio . Hivi sindio kufa kufaana hapa
 
Tatizo sio kampuni za simu ni viongozi legelege wanaomiliki haya makampuni ya simu utalalamika wapi? Wameua mashirika yote yaliyokuwa yanasaidia wanyonge na sasa wanawakamua Watanzania kama ng'ombe kwa kila njia kuanzia umeme, simu nk.
 
Back
Top Bottom