Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,458
- 29,151
Nimekwama mahali na sina vocha,
Ninaempigia ambae ndie mwenye ufmbuzi wa tatizo langu hapatikani kwa tigo na najua namba zake zingine za mitandao mingine nashawishika kukopa kwakua sina Jinsi!!
Na mkopo wenyewe nitaulipa kwa Riba kubwa tu!!
Kama ndivyo, kwanini mnanichagulia watu wa kuwapigia??
Ni lazima nimpigie wa tigo tu?
Masharti ya nini kwenye mkopo ambao nitaulipa??
Kwani mmenipa msaada sasa??
Huu ni utapeli na unyanyasaji uliopitiliza huu
Ninaempigia ambae ndie mwenye ufmbuzi wa tatizo langu hapatikani kwa tigo na najua namba zake zingine za mitandao mingine nashawishika kukopa kwakua sina Jinsi!!
Na mkopo wenyewe nitaulipa kwa Riba kubwa tu!!
Kama ndivyo, kwanini mnanichagulia watu wa kuwapigia??
Ni lazima nimpigie wa tigo tu?
Masharti ya nini kwenye mkopo ambao nitaulipa??
Kwani mmenipa msaada sasa??
Huu ni utapeli na unyanyasaji uliopitiliza huu