Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
JF!Kwa kawaida mitandao ukiwa na shida unapiga 100.Jana wameniiba 500.Napiga hakuna panapoonesha kuongea nao.Nifanyeje?
Utawapata vipi na hawapo BOSS....hiyo TIGO imebakiza mafuvu tu nafikiri inaelekea kufa.....wezi wao,mitambo mibovu wao......kila kibovu wao wanamatangazo mazuri kuliko huduma zaoJF!Kwa kawaida mitandao ukiwa na shida unapiga 100.Jana wameniiba 500.Napiga hakuna panapoonesha kuongea nao.Nifanyeje?