Kitu kikishaitwa OFA unatakiwa ujifikirie mara 2 kukubaliana nacho au kukitumia c lazima ukubaliane nacho...tunawaponda sana tigo LAKINI WAKISEMA WANAACHA KUTOA SERVICE SIJUI ITAKUWAJE!!!!!!!
Hapa kuna watu wasaliti, tumeshapanga kuigomea hii kampuni.
Umeliwa mwisho wa ofa ni usiku wa saa sita siku uliyoingiza salio.weka vocha ya laki moja upate laki 3