Amakando
Senior Member
- May 9, 2011
- 158
- 27
Wadau nasikitika kuwa kampuni ya simu ya mikononi Tigo wanakata fedha katika simu kila wanapotuma SMS zao juu ya ujio wa Rick Ross kwenye tamasha la fiesta.
Binafsi sijaomba kupewa taaarifa zozote juu ya Tamasha hilo, nimepiga simu na kutoa taarifa customer care ambapo kila mara nimekuwa nikielezwa kurekodi malalamiko yangu lakini hakuna majibu yeyote toka kwao, inaniuma sana na nasikitika shilingi mia kwa kila mteja wa kampuni hii kuondoka pasipo hiyari ni wizi.
Je, Clouds wanashiriki kupora hela zetu pamoja na tiGo ili iweje?
Wadau ina maana hata shughuli mbalimbali za kisiasa kampuni hii hutuibia ili kuzifadhili?
Binafsi sijaomba kupewa taaarifa zozote juu ya Tamasha hilo, nimepiga simu na kutoa taarifa customer care ambapo kila mara nimekuwa nikielezwa kurekodi malalamiko yangu lakini hakuna majibu yeyote toka kwao, inaniuma sana na nasikitika shilingi mia kwa kila mteja wa kampuni hii kuondoka pasipo hiyari ni wizi.
Je, Clouds wanashiriki kupora hela zetu pamoja na tiGo ili iweje?
Wadau ina maana hata shughuli mbalimbali za kisiasa kampuni hii hutuibia ili kuzifadhili?