Nimesikitishwa na mtandao huu wa simu wa Tigo, nimekuwa kila siku najaribu kuangalia mwenendo wa huu mtandao hata siuelewi lakini sikujali, ila siku zilivyokuwa zinaendelea niliona tabia hii imeidi nikaamua kufanya research
yafuatayo nimegundua ni wizi mkubwa unaofanywa na hawa jamaa
1. Ukitumiwa pesa na mtu lazima ukatwe 30% ya pesa uliyotumiwa ingawa na mtumaji anakatwa pia, nimeshangaa sana kwa ni nakumbuka siku za nyuma simu zinaanza ulipokuwa unapiga unakatwa na aliyepigiwa anakatwa, tigo wamerudi kulekule
2. Ukikopa mda wa maongezi, unakatwa asilimia kadhaa na mbaya zaidi salio lako linatumika isivyo kawaida na muda wa maongezi wa kawaida, yani salio linawahi sana kuisha , inawezeka wanakata Tzs 3/sec (vat exclusive)
3.Wana tabia ya kukata pesa bila sababu za msingi imezidi, unapunguziwa salio lako na bado ukiwapigia simu hawakupi sababu ya msingio zaidi wanakwepa maswali.
4.Not reliable at all kwani wanaoneka kubabaisha sana kwenye business hii,
Tafadhali sana waonee watanzania huruma na mjitokeze mseme kwanini mnakata pesa ya wateja wenu hata kama umepunguziwa muda wa maongezi na mtu.tunataka kujua
yafuatayo nimegundua ni wizi mkubwa unaofanywa na hawa jamaa
1. Ukitumiwa pesa na mtu lazima ukatwe 30% ya pesa uliyotumiwa ingawa na mtumaji anakatwa pia, nimeshangaa sana kwa ni nakumbuka siku za nyuma simu zinaanza ulipokuwa unapiga unakatwa na aliyepigiwa anakatwa, tigo wamerudi kulekule
2. Ukikopa mda wa maongezi, unakatwa asilimia kadhaa na mbaya zaidi salio lako linatumika isivyo kawaida na muda wa maongezi wa kawaida, yani salio linawahi sana kuisha , inawezeka wanakata Tzs 3/sec (vat exclusive)
3.Wana tabia ya kukata pesa bila sababu za msingi imezidi, unapunguziwa salio lako na bado ukiwapigia simu hawakupi sababu ya msingio zaidi wanakwepa maswali.
4.Not reliable at all kwani wanaoneka kubabaisha sana kwenye business hii,
Tafadhali sana waonee watanzania huruma na mjitokeze mseme kwanini mnakata pesa ya wateja wenu hata kama umepunguziwa muda wa maongezi na mtu.tunataka kujua