nimekuwa mtumiaji wa huduma katika tigo,voda na airtel lakini nimegundua matatizo makubwa katika kampuni ya tigo na vodacom.
tigo wanachaji gharama kubwa sana kuongea toka tigo kwenda tigo achilia mbali tigo kwenda vodacom
nimeongea kutoka tigo kwenda tigo nimejikuta nikikatwa shilingi 1 na senti 31 kwa sekunde 1 wakati tigo wanatanga senti 50 kwa sekunde huu ni wizi mkubwa wa kisirisiri tunaibiwa wananchi
tatizo lingine muda wa kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuhi wanasema kuongea baada ya dakika 3 inakuwa bure nimeweka vocha nikaongea nikijua nitaongea bure baada ya dakika 3 kufika nikajikuta simu imeisha ela na kukatika baada ya dakika kadhaa hazikuzidi dakika 30 katika maongezi yangu niliweka sh.1000 sasa tuwaite wezi au wawekezaji?
tatizo lingine ukipiga namba yao ya 0713800800 customer care utaishia kusikiliza wimbo wao siku nzima hakuna wakupokea kukusikiliza shida yako sasa najiuliza huko tigo wameajiri mtu mmoja kwenye customer care?
vodacom wamebweteka katika huduma ya mpesa maana kila wakati utasikia mtandao wa mpesa mbovu mafundi wanashugulikia limekuwa tatizo sugu kama umeme wa tanesco matokeo kumekuwa na kutokuelewana kati ya mawakala na wateja na voda hawafanyi jitihada kushugulikia hilo tatizo na hiyo inapelekea wateja kupata shida zaidi badala ya kutatuliwa shida zao
kama mkonga wenu umezidiwa na idadi ya wateja ongezeni mikonga mingine na server za kutosha mbona munapata faida sana kwenye huduma zenu na hamtaki kuwekeza pesa zaidi kuimarisha huduma zenu???munataka kuchukua tuu kutoa hamtaki???tuwaite wezi au wawekezaji?
tigo wanachaji gharama kubwa sana kuongea toka tigo kwenda tigo achilia mbali tigo kwenda vodacom
nimeongea kutoka tigo kwenda tigo nimejikuta nikikatwa shilingi 1 na senti 31 kwa sekunde 1 wakati tigo wanatanga senti 50 kwa sekunde huu ni wizi mkubwa wa kisirisiri tunaibiwa wananchi
tatizo lingine muda wa kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuhi wanasema kuongea baada ya dakika 3 inakuwa bure nimeweka vocha nikaongea nikijua nitaongea bure baada ya dakika 3 kufika nikajikuta simu imeisha ela na kukatika baada ya dakika kadhaa hazikuzidi dakika 30 katika maongezi yangu niliweka sh.1000 sasa tuwaite wezi au wawekezaji?
tatizo lingine ukipiga namba yao ya 0713800800 customer care utaishia kusikiliza wimbo wao siku nzima hakuna wakupokea kukusikiliza shida yako sasa najiuliza huko tigo wameajiri mtu mmoja kwenye customer care?
vodacom wamebweteka katika huduma ya mpesa maana kila wakati utasikia mtandao wa mpesa mbovu mafundi wanashugulikia limekuwa tatizo sugu kama umeme wa tanesco matokeo kumekuwa na kutokuelewana kati ya mawakala na wateja na voda hawafanyi jitihada kushugulikia hilo tatizo na hiyo inapelekea wateja kupata shida zaidi badala ya kutatuliwa shida zao
kama mkonga wenu umezidiwa na idadi ya wateja ongezeni mikonga mingine na server za kutosha mbona munapata faida sana kwenye huduma zenu na hamtaki kuwekeza pesa zaidi kuimarisha huduma zenu???munataka kuchukua tuu kutoa hamtaki???tuwaite wezi au wawekezaji?