NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Bora mama huyu aanze mbele , mtu kula uroda kwa a porn star tena bila condom , kuna umuhimu gani wa kuishi naye? kawaida mtu akiwa hatumii condom hatotumia tuu na kama alicheat ata cheat tuu ,sawa kabisa kwa mama kuachana na huyu jamaa kwa usalama wake na watoto wake.
Pia ukicheki jamaa hakuwa na demu mbantu mademu wote aliotembea nao ni watasha tena wenye nywele za blonde
kuachwa na mke maana kaoa mapema so atakua na time ya kula mpaka ma changu wa Ibiza na hakuna atakaye muuliza . nathani its good for them
Pia ukicheki jamaa hakuwa na demu mbantu mademu wote aliotembea nao ni watasha tena wenye nywele za blonde
kuachwa na mke maana kaoa mapema so atakua na time ya kula mpaka ma changu wa Ibiza na hakuna atakaye muuliza . nathani its good for them