Sikuamini mzoefu kama GT anaweza andika utumbo kama huu alioutoa hapa!
Duh... mpaka tujue uko wapi? hii balaa au ndo kutamba kwenyewe??
this is really sad! Tangu lini PUBLIC BROADCASTING SERVICE ikabinafsishwa?
Mkuu Kasheshe, naomba ukanushe haya chini...Sikuamini mzoefu kama GT anaweza andika utumbo kama huu alioutoa hapa!
Huo ubia unampa mtu 65% ni ubia wa wapi? Halafu kwanza hiyo kampuni imesajiliwa kinyemela na Tido ndiye Director wakati yeye si mmiliki, yeye ni mwajiriwa kwa mkataba. Wamiliki ni serikali ikiwa chini ya Msajili wa hazina ama bodi. Pia BRELA wanasema imesajiliwa kimakosa maana wamekiuka sheria ya usajili inayotaka kutumia shilingi, wao wametumia dola katika memat yao. Mengine zaidi baadaye lakini inatisha.
Hivi Hawa Wanasheria wetu huwa wanapitia hizi paper au ndio hio 10%....!!! Wachina wanataka wamiliki kila kitu hivi sasa...!!! na wao lengo lao kuingia kila market...!!!
Vp Kuhusu Redio nayo?....Yale matangazo ya wachina kuuza Njugu na Kupiga debe ndani ya Bongo itakuwa basi tena...!!!
Halisi, kama sheria itakuwa kushoto kwao, je nani anaweza kutengua ubia huu.. TCRA, Bunge au Mahakama ndiyo wanaweza?!Pasco, mambo mengine kama ubunifu simpingi sana Tido pamoja na kuwapo kasoro za hapa na pale katika kubagua watumishi (tatizo hilo lipo sehemu nyingi) lakini kwa hili kuna tatizo kaka. Kwanza kwa chombo nyeti cha umma kama TBC hawakupaswa kwenda haraka haraka hivyo kusajili na kuingia ubia na kampuni nyingine ya nje kwa kisingizio tu cha kukosa mtaji kwa sababu suala hili la masafa limezungumzwa kwa muda mrefu sana na TCRA na TBC wameshiriki vikao kadhaa vya majadiliano. Tatizo sisi Watanzania tumezoea kuchukulia kila jambo kirahisi rahisi tu hata mambo mazito kama hili. Tatizo hili linaanzia katika ngazi ya kaya hadi Taifa, inasikitisha sana.
Kuhusu ufafanuzi wa TCRA, mengi yamo katika website yao ya http://www.tcra.go.tz lakini pia, TCRA wamefanya kazi kubwa kuwashirikisha wadau mbalimbali kwa muda mrefu na inashangaza kuona kwamba TBC wamesajili kampuni chapuchapu kwa ubia na Star jambo lililosababisha kufanya hata makosa ya kisheria
http://www.tcra.go.tz/tenders/Exp_of_Interest_-MUX.pdfThe deadline for submission of Expression of Interest is 2.00 pm local time on Tuesday, 30th April, 2008. EOI will be opened immediately thereafter at TCRA Head office, Mawasiliano House, Plot 304 Ali Hassan Mwinyi/Nkomo
link hii hapa chini, ila hawaja update gazeti jipya bado lipo la wiki jana`
umesoma wapi weka source.