Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,152
hayawihayawi sasa yamekuwa! Tido muhando rasmi aula al jazeera swahili sambamba na joseph warungo!
Uwepo wako huko ndugu tido utasaidia kuanika maovu ya serikali ya tanzania chini ya utawala dharimu wa ccm!
Mungu ibariki tanzania, mungu mbariki tido!
ltk/tiss