mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
hongera Tido
Jery Muro yupo free, Tido Mhando nakushauri kamata huyu jamaa
Kwani alifukuzwa kazi au mkataba wake uliisha?
Expirience ya Tido ni Ph.D tosha ya utangazaji. Kwani Larry King ni degree holder?, Kwenye kazi ya utangazaji kinachomater sio elimu ni uwezo na kipaji!. Find out TBC wana degree holders wangapi?. Linganisha na output yao. Angalia Clouds ni ma Form Four wa Div iv na wanawakimbiza!.Al-Jazeera huwa wanaajiri watu wenye digrii na kuendelea. Form Four hawana nafasi pale.
ebana eee duh!!Al-Jazeera huwa wanaajiri watu wenye digrii na kuendelea. Form Four hawana nafasi pale.
Expirience ya Tido ni Ph.D tosha ya utangazaji. Kwani Larry King ni degree holder?, Kwenye kazi ya utangazaji kinachomater sio elimu ni uwezo na kipaji!. Find out TBC wana degree holders wangapi?. Linganisha na output yao. Angalia Clouds ni ma Form Four wa Div iv na wanawakimbiza!.
Hata kama ni kweli Jerry Murro kuwa Form four, ila jamaa ni kichwa kwny tasnia ya habari, ana deserve kufanya kazi hk,.ila kama utaratibu ni huo duuu! Ila kuna kipindi nilisikia TBC waandishi wao ni kuanzia Degree sasa yeye aliajiriwaje pale!!?Fuatilia post yangu hapo juu namuongelea nani kabla hujakurupuka kutoa majibu. Utaratibu wa ajira wa Al-Jazeera ni lazima uwe na digrii angalau moja. Sasa kama wewe unabadilisha utaratibu basi haya jaribu.
Na zile tetesi Za Kibonde pia Kuitwa Al Jazeera nivipi au katoswa au Sababu ya Degree?Fuatilia post yangu hapo juu namuongelea nani kabla hujakurupuka kutoa majibu. Utaratibu wa ajira wa Al-Jazeera ni lazima uwe na digrii angalau moja. Sasa kama wewe unabadilisha utaratibu basi haya jaribu.
Kwani alifukuzwa kazi au mkataba wake uliisha?
kweli aiseee tido kamata hii Mtu bana!Jery Muro yupo free, Tido Mhando nakushauri kamata huyu jamaa