Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Hayawihayawi sasa yamekuwa! Tido muhando rasmi aula Al Jazeera Swahili sambamba na Joseph Warungo!
Uwepo wako huko ndugu tido utasaidia kuanika maovu ya serikali ya tanzania chini ya utawala dharimu wa ccm!
Mungu ibariki tanzania, mungu mbariki Tido!
Uwepo wako huko ndugu tido utasaidia kuanika maovu ya serikali ya tanzania chini ya utawala dharimu wa ccm!
Mungu ibariki tanzania, mungu mbariki Tido!