Tido Mhando aula Al Jazeeera

Let's assume kwamba nimetumwa na magamba, ambayo si dhambi, bado umeleta analogy ambazo haziendani. Katika sheria za mikataba kuna categories mbalimbali za mikataba na moja wapo ni contracts for specified duration ordefinate date. Mkataba wa Tido ulikuwa na specific time frame na yeye alipaswa kujua kwamba unless kuna renewal, tena ambayo imejadiliwa kabla ya kwisha kwa mkataba wake, alitakiwa aondoke siku ya mwisho ya mkataba wake. Kama ali-assume kwamba service zake zinatoa guarantee ya renewal, that is too bad and his fault. Asilaumu mtu katika hili!


TBC mmefulia ..you are just praise singers ..nothing else..
 
Hongera Mzee Tido ulinzia safari yako ya kupanda kuanzia Nairobi baada ya RTD ya miaka ile ya 70....na baadae miaka ile ya 80 issue ya Robert Ouko ikakutoa....sasa umerudi tena Nairobi...Mungu akuzidishie...Ukimpiga teke Chura humuumizi bali ni sawa na kumzidishia hatua!!! Bora hata walivyokuzalilisha maana dunia isingekutambua ndani ya haya magamba....ulikuwa ndiyo mwisho wako kama walivyoichakachua hata BBC wakati ule wa uchanguzi .....ama kweli Magamba Noma......!!!! Kila la Kheri
 
Back
Top Bottom