Hivi wananchi hatuna say katika hili? Can someone tell me what lipi tunaweza kufanya kuhakikisha tido stays?
Nyambala, mikataba yote huongozwa kwa vipengele vya mkataba ambavyo ni points za kisheria, hivyo kisheria, Tido amemaliza rasmi mkataba wake tangu tarehe 15/12/2010.Nini maana ya mkataba?
Hivi wananchi hatuna say katika hili? Can someone tell me what lipi tunaweza kufanya kuhakikisha tido stays?
Ungekuwa na hela Tido ungeanzisha TV na Radio yako ili kuua kabisa TV ya CCM.
Tido nenda Tido, huna haja ya kutafakari what next kwani umeacha legacy itakayokujemgea heshima.
Big up Tido.
Hakuna kitu kama hicho, Tido aondoke amekuwa akipendelea sana CCM unakumbuka alivyozima Kurusha Hotuba ya Slaa 2009 bungeni? Mnakumbuka alivyokata matangazo pale Jangwani? naomba tusiwe wepesi wa Kusahau. huyu atakuwa appointed Soon na JK kuwa RC.
Hakuna kitu kama hicho, Tido aondoke amekuwa akipendelea sana CCM unakumbuka alivyozima Kurusha Hotuba ya Slaa 2009 bungeni? Mnakumbuka alivyokata matangazo pale Jangwani? naomba tusiwe wepesi wa Kusahau. huyu atakuwa appointed Soon na JK kuwa RC.
Kina Aci mnakosea mnaposema watu wamegeuka, hapa kuna watu wengi sana na maoni yetu pia ni mengi na tofauti sana, pamoja na kuwa yanaweza kugeuka pia. Ila wale wasiomkubali pia wapo, na waliokuwa wanamkubali pia wapo.
Pia kuna kina sie ambao hatuangalii jina, bali vitendo, mie nakubali baadhi ya vitendo vyake na baadhi sikuvikubali, nakubali amefanya kazi kubwa mpaka TBC imekubalika. Huyu ni mwana CCM, na alijitahidi sana kujivua ili aweze kuifanya kazi ya umma, kuna wakati alishindwa. Binafsi nilikuwa napenda vipindi vyao wakati bunge linaendelea, watu tulipata uchambuzi wa wiki nzima bungeni.
Documentaries za kitanzania zimekuja juu ukiacha za STAR tv ambazo kwangu ni za juu zaidi.
Ametupa thamani ya kodi yetu kwa TBC.
Ilinipa hofu wakati walipokuwa wanamtuma Shelembi mitaani huko na mambo ya ajabu ajabu yanafunuliwa na wananchi nilianza kuhisi hiki kitu hakitadumu, na kweli naona ndio basi tena. Ila moto uliouwasha hautazimika. pamoja na mapungufu yako, I hope watu uliowascout hawatatolewa kukufuata!!!!