Mkuu huwezi hata siku moja kutumikia mabwana wawili. BBC alikuwa anatumikia bwana mmoja tu aliyekuwa anamlipa ujira unaoeleweka. Ila sasa yuko kwenye payroll kama 10 hivi, afanye kazi ya yupi? Ukizingatia wengine wana wameshikilia hata uhai wake.
Nadhani ndani ya nafsi yake atakuwa anajutia uamuzi wake huo wa kujiunga na mafisadi labda kama alikuwa anaitafuta hiyo nafasi toka mwanzo. The guy is in big trouble (shit) nadhani hadi sasa anatamani dunia ifunguke na kummeza kabisa!! Kuishi ****** kwa mafisadi si kazi ndo ati!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.