Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
sidhani kama T.I.D ana busara,na hajawai kujua kuongea na vyombo vya habari. ina bidi tuhoji uhalali na uwezo wa kichwa chake! pengine alikuwa sawa kutukana kulingana na akilio alizonazo, tukitumia kesi iliyo mpeleka rumande ,tutajua huyu mtu busara kwake nikituo cha polisi. kwa watangazaji pia kunatatizo inabidi wawe wanaangalia mtu ana mood gani ndio haulizwe swali! mfano Misago alipo mlzimisha wema kujibu maswali ambayo yalisha wekewa angalizo kutojibiwa ndugu Wema alipo ona jamaa anakihuka aliamua kuondoka hapo ndipo nilipo ona busara ya wema sepetu na nika gundua sikuhizi hatuna watangazaji balio tuna walopokaji. Angekuwa T.I.D ange mpiga misago!