King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,592
- Thread starter
- #21
Mbona POVU linakutoka mkuu.
Umeona enheee jamaa povu limemtoka kweli.......Kuna kitu kinaitwa sampling sawa ila hadi melody?
Mbona POVU linakutoka mkuu.
sitaki kusikia habari za mateja wa kinondoni. mia
Haufanani kabisa bwana!! halafu hii si kucopy ni sampling bana! katika dunia hii ya muziki huwezi leo ukatengeneza tune ya mziki wa kwako tu pasipo kusample! sababu vyombo vinavyotengeneza mziki duniani ni vile vile!!!!! tone zake ni zile zile.......Ili basi usionekane umecopy au umesample basi tumia malimba, zeze, dogoli, tutulo, litungu n.k!
Nyimbo ya mzambia huyo ni ya siku nyingi na ilibamba mbaya.... iweje kama tid kafanya copy ije kujulikana leo isijulikane toka tu ilipotoka?? inamaana ilikuwa ngumu mara tu ilipotoka kiasi kwamba mpaka fbi wa earadio wachukue miezi 6 kujua ni copy!!
Jamani hii si sawa bana.
Halafu hawa mapresenta wa hizi redio biashara si wabunifu bana katika kazi zao! sasa anapokuwa na likipindi la masaa matatu na yeye hajui atafanya nini kukinogesha kipindi chake ndo wanaibuka na short kats za fulani kacopy basi tu ili mradi masaa yake 3 yaishe baaaaaaaaaaaaaaasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Muuzasura amesema siku hizi ameacha Ngada....
Hajaacha ila dozi kapunguza kwani kuna mpango bab kubwa kuhakikisha mshkaji anaacha ngada mazima!tumuombee mnyama aache nyeupe arudi enzi zake!TID wa shaaban robert au TId wa black gangstar kipindi anajiita NAS au TID aliyepiga ngoma na NAAZIZ kipindi kile!Muuzasura amesema siku hizi ameacha Ngada....
Hajaacha ila dozi kapunguza kwani kuna mpango bab kubwa kuhakikisha mshkaji anaacha ngada mazima!tumuombee mnyama aache nyeupe arudi enzi zake!TID wa shaaban robert au TId wa black gangstar kipindi anajiita NAS au TID aliyepiga ngoma na NAAZIZ kipindi kile!
ni vp kama huyo mwingine ndo kamcopy tid.
Profesor jay alianza na piga makofi kabla make it clap ya busta rhymes mmekaa kimya upumbavu tu
kwanini hamuamini tunaweza kucopiwa sisi.
Chameleone did it to profesor jay.msiwe wapuuzi.
ni vp kama huyo mwingine ndo kamcopy tid.
Profesor jay alianza na piga makofi kabla make it clap ya busta rhymes mmekaa kimya upumbavu tu
kwanini hamuamini tunaweza kucopiwa sisi.
Chameleone did it to profesor jay.msiwe wapuuzi.
Hizo Ni title tu,kwhyo unataka kuniambia Gelly wa Rymes na Mike T wamemuiga Celin Dion wimbo wa I Luv U?
Mbona POVU linakutoka mkuu.
Tatzo hapa kibongo bongo hamna wasanii wte hovyo huyo TID huo sasa ni wimbo wa pili kucopy awali ulikuwa wa nyota yangu now huu' sasa ukija kwny hip hop não hovyo haswa pale nilipokuja kuckia wimbo wa Godzilla aliocopy kwa Jay Z aibu tu, hapa msanii ni Ben Paul tu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums