Jaxx
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 129
- 28
Wana JF kwani nitangulize shukrani zangu kwa ushirikiano weenu wa kila cku, nitakuwa tofauti kidogo na hisia zenu kutokana na heading ila lengo ni moja tu kusaidiana maisha maggumu kama hayo
Kuna kampuni Inaitwa Lukundo Co. ltd ni agent wa TICTS hapa bandarini kitengo cha uhakiki wa mizigo yani Tallying, Bahati nzuri jamaa (Lukundo) walitangaza kazi za Tallying Clerk nikaomba na nikapata japo pia zoezi lilitawaliwa na Rushwa,chakushangaza na kilichofanya ni post hii thread ni kuwa leo yani tarehe 22/04/2011 tuliambiwa tuanze kazi na mpaka hapo tukawa hatujaambiwa mshahara ila mbaya zaidi mimi nimefukuzwa kazi eti KISA nimeuliza mshahara ni kiasi gani?, hivyo nimepoteza kazi na wote zaidi ya 80 walioajiliwa mpaka sasa wameanza kazi ila hawajaambiwa mshahara ni kiasi gani na hakuna mkataba, eti hili ndilo soko la ajira,Mtu anaeenda kufanya kazi ya kuidhinisha na kukagua mizigo ya Billions of shillins anaanza kazi bila mkataba wala kujua mshahara?, ni hatari sana hivyo TICTS kuweni macho sana na hizi kampuni mnazozipa kazi
Naomba kuwasilisha!!
Kuna kampuni Inaitwa Lukundo Co. ltd ni agent wa TICTS hapa bandarini kitengo cha uhakiki wa mizigo yani Tallying, Bahati nzuri jamaa (Lukundo) walitangaza kazi za Tallying Clerk nikaomba na nikapata japo pia zoezi lilitawaliwa na Rushwa,chakushangaza na kilichofanya ni post hii thread ni kuwa leo yani tarehe 22/04/2011 tuliambiwa tuanze kazi na mpaka hapo tukawa hatujaambiwa mshahara ila mbaya zaidi mimi nimefukuzwa kazi eti KISA nimeuliza mshahara ni kiasi gani?, hivyo nimepoteza kazi na wote zaidi ya 80 walioajiliwa mpaka sasa wameanza kazi ila hawajaambiwa mshahara ni kiasi gani na hakuna mkataba, eti hili ndilo soko la ajira,Mtu anaeenda kufanya kazi ya kuidhinisha na kukagua mizigo ya Billions of shillins anaanza kazi bila mkataba wala kujua mshahara?, ni hatari sana hivyo TICTS kuweni macho sana na hizi kampuni mnazozipa kazi
Naomba kuwasilisha!!