Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
Nakumbuka Karamagi alitakiwa kuwasilisha nyaraka kwa ajili ya kutoa ushadi ya kuwa ni kikao cha mawaziri kilikaa na kutoa makubaliano ya kuongeza ,kataba kama sikosei, hivi iliishia wapi au ndo inasubiriwa kikao kijacho??? maana kama hajafanya hivyo nategemea huyu mbunge apewe adhabu kwa kulidanganya bunge
Naomba msaada wa kujua hilo
Naomba msaada wa kujua hilo