Tibaijuka naye ni fisadi tu.

WATANABE

JF-Expert Member
Apr 13, 2011
1,092
466
Jana katika mkutano wa CCM Jangwani Mhe Anne Tibaijuka alisikika akijigamba kuwa hakuna mwananchi hata mmoja wa Jiji la DSM atakayeporwa ardhi yake ilihali katika eneo la Kwembe Manispaa ya Kinondoni jirani na Shuel yake iitwayo Barbro Johansen wananchi wanaporwa ardhi zao na watendaji wa wizara ya Ardhi ardhi hiyo na kuuzwa kwa watu wengine kwa bei kubwa mno.

Cha kushangaza kabla Mhe Anne Tibaijuka hajakuwa waziri wa wizara hiyo alikuwa akipinga shamba lake analotarajia kujenga shule ya wavulana ambalo lilipimwa viwanja baada kulipwa, alifikia hatua ya kuweka mabango yanayotoa ujumbe kwa wanunuzi wa viwanja wasikubali kugawiwa viwanja katika shamba hilo na Wizara ya Ardhi.

Baada ya kuwa Waziri wa Wizara hiyo amejirejeshea shamba lake licha ya kulipwa fidia na Serikali huku ardhi ya wananchi ambao hawakulipwa fidia ikiporwa na kuuzwa kama watu wengine.
 
Jana katika mkutano wa CCM Jangwani Mhe Anne Tibaijuka alisikika akijigamba kuwa hakuna mwananchi hata mmoja wa Jiji la DSM atakayeporwa ardhi yake ilihali katika eneo la Kwembe Manispaa ya Kinondoni jirani na Shuel yake iitwayo Barbro Johansen wananchi wanaporwa ardhi zao na watendaji wa wizara ya Ardhi ardhi hiyo na kuuzwa kwa watu wengine kwa bei kubwa mno.

Cha kushangaza kabla Mhe Anne Tibaijuka hajakuwa waziri wa wizara hiyo alikuwa akipinga shamba lake analotarajia kujenga shule ya wavulana ambalo lilipimwa viwanja baada kulipwa, alifikia hatua ya kuweka mabango yanayotoa ujumbe kwa wanunuzi wa viwanja wasikubali kugawiwa viwanja katika shamba hilo na Wizara ya Ardhi.

Baada ya kuwa Waziri wa Wizara hiyo amejirejeshea shamba lake licha ya kulipwa fidia na Serikali huku ardhi ya wananchi ambao hawakulipwa fidia ikiporwa na kuuzwa kama watu wengine.

....mkuu,ulikuwa hujui
 
Back
Top Bottom