Tibaijuka Kumvaa Masilingi?

Kha, We vp ina maana mwenye kutoa hiyo info. hataki kuwa cited sio? Na akaiweka khiyo info. kwenye blog sio?ndo unachomwambia Geza hapa sio? Acha mambo ya mitaani hiyo info. umeipata www.madarakanyerere.blogspot.com ingekuwa busara kama ungeandika hiyo link! Uache ubishi! umesoma chini ya mwembe nini? hatujauliza kama ni rafiki yako au la? source ni muhimu mzee!

- Hayo ni matatizo yako sio yangu, sikuweka jina la source lakini nimeiweka kwenye quote, aliyetoa habari ni rafiki yangu asiyependa jina lake kurushwa ruhswa hapa JF, na hii sio habari ya kwanza ninaileta hapa kutoka kwake na sio kutoka huko unakosema, hutaki nenda topic nyingine, unataka jadili hoja mengine ni pure nonsense na ni waste of my time na ya wengine humu JF.

- Shule niliyosoma na uliyosoma ni non ishu maana wote yaani mimi na wewe tunatawaliwa na CCM mpaka mwisho wa dunia yako na yangu!
na wala sihitaji kubishana sana kwamba kati yangu na wewe nani amesoma miembeni maana ukweli unajisema wenyewe, Bwa! ha! ha! ni kawaida yako kuhangaika hangaika!

Es!
 
Nadhani hapa tuna-distort records kwa kumuonea mama Tibaijuka.

Mama Tibaijuka ameondoka Mlimani akiwa ni Professor..Mama Migiro ameondoka pale mlimani akiwa Senior Lecturer. Migiro ana PhD ya Sheria Konstanz, Mama Tibaijuka ana PhD ya uchumi huko Sweden. Kwa hiyo wote ni wasomi.

By the time, mama Tibaijuka anaondoka mlimani alienda Geneva kama Director kwenye UN kwenye kitengo cha nchi zinazoendelea. mpaka kuwa appointed kuwa Director wa UN-HABITAT ilikuwa ni Promotion ambayo alipewa baada ya kukiimarisha kile kitengo cha makazi. Utumishi wake UN umekuwa based on merit na promotion. (as attested na Kofi Anan mwenyewe wakati anawaomba General Assembly wai-upgrade ile UN-HABITAT kuwa full fledged UN Institution based in Nairobi!).

Hivi jamani kama hapa siyo kudanganyana...wengi hapa mama Migiro wameanza kumfuatilia career yake baada ya Mkapa kumpa uwaziri 2000. Na Kikwete kumpa Ministry of Foreign Affairs. Otherwise..she was just another lecturer pale Mlimani ambao wengi "tu"lipita mikononi mwake. Which ofcourse doesnt diminish her ability to lead.

Please people, while I admire mama Migiro, still I believe we can discuss her achivements bila kudistort record ya mama Tibaijuka. Ban Ki Moon mwenye mpaka leo ana kashkashi kwamba wengi wanamuona the most failed UN DIPLOMAT! Can you imagine..the guy went to Yangoon to meet Aung San Sukyi..akarudi mikono mitupu..next week..senator from US akakubaliwa kukutana na Aung Sukyi?..mfano kama huu unatuonyesha kwamba....success au failure katika UN ziko relative.

With due respect: Mama Migiro should EARN her credibility. Msitake kutupa hii longo longo. Though ultimately, was she to stand for a public office, I would definitely give her my vote.

- Mama Migiro, alikuwa msomi, akawa mbunge, akawa waziri wa jamhuri, na sasa ni kiongozi wa dunia na infact ni bosi wa Tibaijuka huko UN, sasa kuendelea kubishana on uwezo wao ni yale yale ya Yanga na Simba na ndio longo longo hasa supposedly unalolikataa, inasikitisha sana!

Respect.


FMEs!
 
FMES,

..hapa siyo suala la kupenda chongo na kuita kengeza. hiyo "demotion" ya Mama Tibaijuka ilishazungumziwa hapa jamii forums and almost every fair person ali-conclude kwamba ilitokana na "UN politics."

..kama Mama Tibaijuka angeondolewa ktk nafasi ya DG-UN-Habitat basi moja kwa moja tungeweza kusema utendaji wake umekuwa na mapungufu. lakini so far nadhani Mama ameongoza shirika hilo kwa zaidi ya kipindi kimoja.

..pia tunaposema Mama Migiro hana rekodi usichukulie kwamba tunamkandia yeye binafsi. tatizo ni hiyo nafasi aliyopewa ya D-UNSG. nafasi hiyo ni sawa na U-Vice President wa hapa kwetu Tz au hata USA. unaweza kukuta mhusika ana uwezo lakini nature ya kazi yake na inamkwaza ktk utendaji na kumzuia kuwa na rekodi yake mwenyewe.

NB:

..Mama Migiro alikuwa mbunge wa viti maalumu CCM. ubunge huo hauna challenges kama ule wa kuchaguliwa majimboni. binafsi ningemkubali zaidi kama angekwenda kwao Usangi na kushindana na kina Prof.Jummanne Maghembe, au angebakia hapa DSM na kushindana na kina Charles Keenja ktk jimbo la Ubungo.

- Umkubali au usimkubali Mama Migiro, aliwahi kuwa mbunge, akawa waziri na sasa ni bosi wa Tibaijuka huko UN, hizi ni facts, yaani Mama Migiro ni zaidi kuliko Tibaijuka, mengine ni kipenda roho kula nyama mbichi.

Respect.


FMEs!
 
Me ningemshauri aachane kabisa na siasa za wabongo bora akae ktk kazi yake ya maana, hii ya mjengoni ni wizi mtupu. Kuwatumikia wananchi si lazima uwe mbunge bwana. Halafu kama ndo kupitia chama chao mafisadi bora kuacha kabisa!
 
Masanja,
'Well said.


Mkuu heshima mbele,

Kaka yangu FMES anadhani kwamba kuna wanaompinga mama Roza Migiro au wana undermine mafanikio yake. I for one I am not, I deeply respect her since akiwa mwalimu wa TORT pale mlimani! Only I am against people distorting records za mtu mwingine vompetent kama mama Tibaijuka on unfounded grounds.

Ultimately what we should all know, as long as we are in Tanzania and not in Somalia, whether it is Migiro, Tibaijuka, Mwanakijiji, Nchimbi, Malim Seif Sharif Hamad or anybody else..it will depend on WE the people, tunaopanga foleni kupiga kura! So, lets hold our heads up high.

Further, we should also know kwamba tukiona watu wanauliza maswali mengi kuhusu Migiro au Tibaijuka ndo deliberative process ya demokrasia yenyewe. We should be happy for that as a country. Mtu akitaka ku-hold public office..she must EARN that TRUST. Tulipoambiwa na maaskofu wetu kwamba Jakaya alikuwa ni Chaguo la MUNGU tumeyaona wenyewe. So we really need to have a critical discussion on whomever wants to run for public office for the greater good of our country and its people.

Masanja.
 
Hah hah atagombea kupitia BAWATA bana sijui sasa Tiba ndio yuko CCM baada ya hapo awali kushukiwa kama mwewe na serikali kuwa BAWATA inafanya shughuli za kisiasa kwa hiyo ifutiliwe mbali na ile kesi sijui imeishia wapi,karibu sana waitu ukubali kuwa tayari kufunuliwa siri zako za longi na akina mama mipasho kwenye dimba lao la UWT,huko utasiribwa weee utapakwa mitope weee mpaka utajuta kwa nini uliacha kazi yako UN,bongo hakuna wanasiasa bali kuna wapiga porojo na kwa mtu makini inabidi ukae mbali na siasa za bongo
 
my two cents:

Dr. Migiro interview
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=3RLUoqTytwA"]YouTube- Broadcast Yourself.[/ame]

Dr. Tibaijuka interview
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=byvG34D9b44"]YouTube- Time for Real Questions, Guest: Anna Tibaijuka[/ame]
 
Mkuu heshima mbele,

Kaka yangu FMES anadhani kwamba kuna wanaompinga mama Roza Migiro au wana undermine mafanikio yake. I for one I am not, I deeply respect her since akiwa mwalimu wa TORT pale mlimani! Only I am against people distorting records za mtu mwingine vompetent kama mama Tibaijuka on unfounded grounds.

Ultimately what we should all know, as long as we are in Tanzania and not in Somalia, whether it is Migiro, Tibaijuka, Mwanakijiji, Nchimbi, Malim Seif Sharif Hamad or anybody else..it will depend on WE the people, tunaopanga foleni kupiga kura! So, lets hold our heads up high.

Further, we should also know kwamba tukiona watu wanauliza maswali mengi kuhusu Migiro au Tibaijuka ndo deliberative process ya demokrasia yenyewe. We should be happy for that as a country. Mtu akitaka ku-hold public office..she must EARN that TRUST. Tulipoambiwa na maaskofu wetu kwamba Jakaya alikuwa ni Chaguo la MUNGU tumeyaona wenyewe. So we really need to have a critical discussion on whomever wants to run for public office for the greater good of our country and its people.

Masanja.

- Mkuu Masanja kama nilivyosema huko nyuma, ninapatwa na tatizo sana kuelewa hivi vipimo, maana kwa wenye akili nyingi sidhani kama hapa pana ishu, Mama Migiro alikuwa Mwalimu University, Mbunge wa taifa, Waziri wa Jamhuri na sasa ni bosi wa Tibaijuka huko UN,

- Sasa what is a beef hapa sielewi ni nini hasa na I though the topic ni tibaijuka kutaka ubunge, sasa imekuaje a ligi kati yake na Mama Migiro sielewi, mimi siamini kwamba hawa wawili wanaweza kuwekwa kwenye mzani mmoja no way? ni mto na bahari, Mama Migiro yuko juu sana, Tibaijuka ni mtu mdogo sana kwake kikazi Tibaijuka anahitaji appointment kumuona Migiro hawezi tu akakurupuka na kwenda kumuona, sasa tunawalinganishaje I do not get it!

- Ndio ninasema ni kipenda roho kula nyama mbichi!

Respect.


FMEs!
 
Kwangu as long as ameamua kugombea kupitia sisiemu sidhani kama ataleta mchango wowote wa maana bungeni. Ni bora abaki huko huko UN habitant kwani kuna kaupendeleo tuna gain. Lakini akitoka kuja kwa wasanii wa sisiemu amejimaliza na umaarufu wake umeishia hapo.
Nasema hivi kwa sababu nimeona wabunge machachali tena wasomi kama yeye wakinywea kama vile mbwa anavyorudisha mkia ndani akimuona chatu anamnyemelea kumnyonga. Aminini hataleta badiliko lolote kwenye bunge la sisiemu.

Mkuu Mchukia Fisadi,

You have said it all. Pamoja na matarajio ya wengi, huyu mama akienda kugombea kwa tiketi ya CCM we should not expect anything new.

Kuna member mmoja ameuliza lakini hakuna aliyetoa jibu. Je hiyo kazi yake huko UN anaiacha?

Tiba
 
- Mkuu Masanja kama nilivyosema huko nyuma, ninapatwa na tatizo sana kuelewa hivi vipimo, maana kwa wenye akili nyingi sidhani kama hapa pana ishu, Mama Migiro alikuwa Mwalimu University, Mbunge wa taifa, Waziri wa Jamhuri na sasa ni bosi wa Tibaijuka huko UN,

- Sasa what is a beef hapa sielewi ni nini hasa na I though the topic ni tibaijuka kutaka ubunge, sasa imekuaje a ligi kati yake na Mama Migiro sielewi, mimi siamini kwamba hawa wawili wanaweza kuwekwa kwenye mzani mmoja no way? ni mto na bahari, Mama Migiro yuko juu sana, Tibaijuka ni mtu mdogo sana kwake kikazi Tibaijuka anahitaji appointment kumuona Migiro hawezi tu akakurupuka na kwenda kumuona, sasa tunawalinganishaje I do not get it!

- Ndio ninasema ni kipenda roho kula nyama mbichi!

Respect.


FMEs!

mkuu, hakuna mwanamke yeyote Tanzania sasa mwenye accomplishments zenye uzito mkubwa kama za Mama Tibaijuka, hapa tunaongelea record at office. Tutabishana hapa mpaka kesho.


from UN-HABITAT web.

"......
Anna Tibaijuka is the first African woman elected by the UN General Assembly as Under-Secretary-General of a United Nations programme.

In July 2000 she was appointed by Secretary General, Kofi Annan as Assistant-Secretary-General and Executive Director of the former United Nations Centre for Human Settlements (UNCHS), the UN agency for the built-up environment and urban development headquartered in Nairobi, Kenya. She is credited with raising awareness about the global challenge of chaotic urbanization, inspiring a new strategic vision, and significantly enhancing the organization's performance, management and image. These efforts restored donor confidence and the overall credibility of the organization, resulting in its upgrading into a full-fledged United Nations Programme on Human Settlements (UN-HABITAT) by the General Assembly in December, 2001. She was in turn elected in December 2002 by the General Assembly as the first Executive Director of the new UN-HABITAT programme at the level of Under Secretary General.

Mrs. Tibaijuka joined the United Nations Conference on Trade and Development, UNCTAD, in Geneva, in 1998 as Director and Special Coordinator for the Least Developed, Land-locked and Island Developing Countries. She was in charge of capacity building in their trade negotiations in the World Trade Organization, and assisted LDCs, for the first time ever, to forge a coherent and united negotiating position for their special trade interests.

She has served as a Member of the Commission for Africa established by British Prime Minister Tony Blair which resulted in the cancellation of multilateral debt for several African countries by the G8 Summit in 2005 at Glen Eagles, Scotland.

In July 2005 the Secretary General appointed Mrs. Tibaijuka as his Special Envoy on Human Settlements Issues in Zimbabwe following massive evictions of the poor in urban areas.

She is currently a member of the World Health Organization Commission on the Social Determinants of Health, and is also a member of the Advisory Board of the Commission on the Legal Empowerment of the Poor, co-chaired by the former US Secretary of State, Ms. Madeleine Albright, and the Peruvian economist Hernando de Soto.

In its unanimous decision to re-elect Mrs. Tibaijuka for a second term as Executive Director of UN-HABITAT, the General Assembly noted her success in forging strategic partnerships with financial institutions for follow-up investment in housing and urban infrastructure. These include the UN-HABITAT $570 million agreement with the African Development Bank and $500 million agreement with the Asian Development Bank.

In 1996 she founded Barbro Johannson Girls' Education Trust (Joha Trust) that advocates for quality girls' education in Tanzania and Africa and operates a model secondary school for poor girls, mostly orphans.

She is winner of several awards including honorary Doctorate degrees conferred by:
the University of McGill in Canada
University College London
Herriot Watt in Scotland

She is a Foreign Member of the Royal Swedish Academy of Agriculture and Forestry and the International Center for Tropical Agriculture.
 
Mkuu Mchukia Fisadi,


Kuna member mmoja ameuliza lakini hakuna aliyetoa jibu. Je hiyo kazi yake huko UN anaiacha?

Tiba

Dr. Tibaijuka amekuwa mkuu wa UN-HABITAT tokea 2002. Office term huwa ni miaka minne, na alikuwa re-elected baada ya awamu yake ya kwanza. Kwahiyo mwaka huu 2010 term yake inaisha.

Dr. Tibaijuka anahitajika nyumbani katika nyadhifa yeyote ile. Ninauhakika ataleta mabadiliko fulani.
 
She should run for Presidency if has got resources.

She is better qualified than JK who if challenged, can easly fall apart.

katiba inamruhusu kugombea uraisi, lakini kwa maoni yangu naona bado kidogo. Tumpime kwanza huko kwenye ubunge na uwaziri.
 
- Mama Migiro, alikuwa msomi, akawa mbunge, akawa waziri wa jamhuri, na sasa ni kiongozi wa dunia na infact ni bosi wa Tibaijuka huko UN, sasa kuendelea kubishana on uwezo wao ni yale yale ya Yanga na Simba na ndio longo longo hasa supposedly unalolikataa, inasikitisha sana!

Respect.

FMEs!

Mkuu FMEs, naomba nitofautiane na wewe kidogo hapa. Nafasi ya Migiro ni ya kiasiasa zaidi na ile ya Mama Tibaijuka ni ya utendaji. Kimadaraka, Migiro ana madaraka makubwa kuliko Mama Tibaijuka. Ni kama nafasi ya waziri na katibu mkuu katika wizara. Wakati nafasi ya Waziri ni ya kisiasa na hautajiki kuwa na utaalamu wa wizara unayoiongoza wakati katibu katibu mkuu under normal circumstances anapashwa awe mtaalamu. Ndivyo walivyo Migiro na Mama Tibaijuka.

Tunaweza tukawa tunajaribu kulinganisha vyeo visivyolinganishika. Na wala siamini kwamba Migiro aliteuliwa kuwa msaidizi wa wa Ban kwa kigezo cha performamce records. Performance records zipi hizo?

Tiba
 
deputy secretary-general

asha_rose_migiro.jpg




DR. ASHA-ROSE MIGIRO

Dr. Asha-Rose Migiro of Tanzania took office as Deputy Secretary-General of the United Nations on 1 February 2007. She is the third Deputy Secretary-General to be appointed since the post was established in 1997.

Career Highlights

Dr. Migiro served as Minister of Foreign Affairs and International Cooperation from 2006-2007 -- the first woman in the United Republic of Tanzania to hold that position since its independence in 1961. Before that, she was Minister for Community Development, Gender and Children for five years.

As Foreign Minister, Dr. Migiro spearheaded Tanzania 's engagement in the pursuit of peace, security and development in the Great Lakes Region. She served as Chair of the Council of Ministers' meetings of the International Conference of the Great Lakes Region, a process that culminated into a Pact on Security, Stability and Development in the Great Lakes Region.

Dr. Migiro was also Chair of the Southern African Development Community (SADC) Ministerial Committee of the Organ on Politics, Defense and Security Cooperation and President of the UN Security Council during its open debate on peace, security and development in the Great Lakes Region. As Chair of the SADC Organ,

Dr. Migiro coordinated SADC assistance to the democratic process, including elections, in the Democratic Republic of the Congo (DRC), as well as support for national elections in Zambia and Madagascar . At the time of her appointment, she was chairing an important SADC Ministerial Troika Meeting ahead of the national elections in the Kingdom of Lesotho .

Prior to Government service, Dr. Migiro pursued a career in academia. She was a member of the Faculty of Law at the University of Dar -es-Salaam, where she rose to the rank of Senior Lecturer. She headed the Department of Constitutional and Administrative Law from 1992 to 1994, and the Department of Civil and Criminal Law from 1994 to 1997. Her work was published widely in local and international journals.

Dr. Migiro served as a member of Tanzania 's Law Reform Commission in 1997 and as a member of the UN Committee on the Elimination of Discrimination against Women in 2000.

Education

Dr. Migiro obtained a Master of Laws from the University of Dar-es-Salaam in 1984 and a Doctorate in law from the University of Konstanz in Germany in 1992.

Personal

Dr. Migiro was born in Songea , Tanzania , on 9 July 1956. She is married to Professor Cleophas Migiro and has two daughters. In addition to English, she speaks Kiswahili, basic French and German.

the post

The post of Deputy Secretary-General was established by the General Assembly at the end of 1997 as part of the reform of the United Nations, to help manage Secretariat operations and to ensure coherence of activities and programmes. The purpose was also to elevate the Organization's profile and leadership in the economic and social spheres.


The General Assembly, decided to establish the post of Deputy Secretary-General as an integral part of the Office of the Secretary-General. The details were set out in Addendum 1 to the report of the Secretary-General and in the statement made by the Secretary-General on 4 November 1997 to the open-ended informal consultations of the General Assembly on United Nations reform. The item was entitled: measures and proposals, without prejudice to the mandate of the Secretary-General as provided by the Charter of the United Nations and, in accordance with the existing system of decision-making. Responsibilities delegated by the Secretary-General, to the Deputy Secretary-General included the following:
(a) To assist the Secretary-General in managing the operations of the Secretariat;
(b) To act for the Secretary-General at United Nations Headquarters in the absence of the Secretary- General and in other cases as may be decided by the Secretary-General;
(c) To support the Secretary-General in ensuring inter-sectoral and inter-institutional coherence of activities and programmes and to support the Secretary-General in elevating the profile and leadership of the United Nations in the economic and social spheres, including further efforts to strengthen the United Nations as a leading centre for development policy and development assistance;
(d) To represent the Secretary-General at conferences, official functions and ceremonial and other occasions as may be decided by the Secretary-General;
(e) To undertake such assignments as may be determined by the Secretary-General;

mkuu, hakuna mwanamke yeyote Tanzania sasa mwenye accomplishments zenye uzito mkubwa kama za Mama Tibaijuka, hapa tunaongelea record at office. Tutabishana hapa mpaka kesho.


from UN-HABITAT web.

"......
Anna Tibaijuka is the first African woman elected by the UN General Assembly as Under-Secretary-General of a United Nations programme.

In July 2000 she was appointed by Secretary General, Kofi Annan as Assistant-Secretary-General and Executive Director of the former United Nations Centre for Human Settlements (UNCHS), the UN agency for the built-up environment and urban development headquartered in Nairobi, Kenya. She is credited with raising awareness about the global challenge of chaotic urbanization, inspiring a new strategic vision, and significantly enhancing the organization's performance, management and image. These efforts restored donor confidence and the overall credibility of the organization, resulting in its upgrading into a full-fledged United Nations Programme on Human Settlements (UN-HABITAT) by the General Assembly in December, 2001. She was in turn elected in December 2002 by the General Assembly as the first Executive Director of the new UN-HABITAT programme at the level of Under Secretary General.

Mrs. Tibaijuka joined the United Nations Conference on Trade and Development, UNCTAD, in Geneva, in 1998 as Director and Special Coordinator for the Least Developed, Land-locked and Island Developing Countries. She was in charge of capacity building in their trade negotiations in the World Trade Organization, and assisted LDCs, for the first time ever, to forge a coherent and united negotiating position for their special trade interests.

She has served as a Member of the Commission for Africa established by British Prime Minister Tony Blair which resulted in the cancellation of multilateral debt for several African countries by the G8 Summit in 2005 at Glen Eagles, Scotland.

In July 2005 the Secretary General appointed Mrs. Tibaijuka as his Special Envoy on Human Settlements Issues in Zimbabwe following massive evictions of the poor in urban areas.

She is currently a member of the World Health Organization Commission on the Social Determinants of Health, and is also a member of the Advisory Board of the Commission on the Legal Empowerment of the Poor, co-chaired by the former US Secretary of State, Ms. Madeleine Albright, and the Peruvian economist Hernando de Soto.

In its unanimous decision to re-elect Mrs. Tibaijuka for a second term as Executive Director of UN-HABITAT, the General Assembly noted her success in forging strategic partnerships with financial institutions for follow-up investment in housing and urban infrastructure. These include the UN-HABITAT $570 million agreement with the African Development Bank and $500 million agreement with the Asian Development Bank.

In 1996 she founded Barbro Johannson Girls' Education Trust (Joha Trust) that advocates for quality girls' education in Tanzania and Africa and operates a model secondary school for poor girls, mostly orphans.

She is winner of several awards including honorary Doctorate degrees conferred by:
the University of McGill in Canada
University College London
Herriot Watt in Scotland

She is a Foreign Member of the Royal Swedish Academy of Agriculture and Forestry and the International Center for Tropical Agriculture.

- Pole sana kaka, kama ni CV soma mwenyewe hapo, na one thing ni very clear Mama Migiro ni bosi wa Tibaijuka sasa hivi, kwa hiyo ndio maana ninasema ni kipenda roho tu lakini facts ziko wazi sana!

Respect.


FMEs!
 
mkuu, hakuna mwanamke yeyote Tanzania sasa mwenye accomplishments zenye uzito mkubwa kama za Mama Tibaijuka, hapa tunaongelea record at office. Tutabishana hapa mpaka kesho.


from UN-HABITAT web.

"......
Anna Tibaijuka is the first African woman elected by the UN General Assembly as Under-Secretary-General of a United Nations programme.

In July 2000 she was appointed by Secretary General, Kofi Annan as Assistant-Secretary-General and Executive Director of the former United Nations Centre for Human Settlements (UNCHS), the UN agency for the built-up environment and urban development headquartered in Nairobi, Kenya. She is credited with raising awareness about the global challenge of chaotic urbanization, inspiring a new strategic vision, and significantly enhancing the organization’s performance, management and image. These efforts restored donor confidence and the overall credibility of the organization, resulting in its upgrading into a full-fledged United Nations Programme on Human Settlements (UN-HABITAT) by the General Assembly in December, 2001. She was in turn elected in December 2002 by the General Assembly as the first Executive Director of the new UN-HABITAT programme at the level of Under Secretary General.

Mrs. Tibaijuka joined the United Nations Conference on Trade and Development, UNCTAD, in Geneva, in 1998 as Director and Special Coordinator for the Least Developed, Land-locked and Island Developing Countries. She was in charge of capacity building in their trade negotiations in the World Trade Organization, and assisted LDCs, for the first time ever, to forge a coherent and united negotiating position for their special trade interests.

She has served as a Member of the Commission for Africa established by British Prime Minister Tony Blair which resulted in the cancellation of multilateral debt for several African countries by the G8 Summit in 2005 at Glen Eagles, Scotland.

In July 2005 the Secretary General appointed Mrs. Tibaijuka as his Special Envoy on Human Settlements Issues in Zimbabwe following massive evictions of the poor in urban areas.

She is currently a member of the World Health Organization Commission on the Social Determinants of Health, and is also a member of the Advisory Board of the Commission on the Legal Empowerment of the Poor, co-chaired by the former US Secretary of State, Ms. Madeleine Albright, and the Peruvian economist Hernando de Soto.

In its unanimous decision to re-elect Mrs. Tibaijuka for a second term as Executive Director of UN-HABITAT, the General Assembly noted her success in forging strategic partnerships with financial institutions for follow-up investment in housing and urban infrastructure. These include the UN-HABITAT $570 million agreement with the African Development Bank and $500 million agreement with the Asian Development Bank.

In 1996 she founded Barbro Johannson Girls’ Education Trust (Joha Trust) that advocates for quality girls’ education in Tanzania and Africa and operates a model secondary school for poor girls, mostly orphans.

She is winner of several awards including honorary Doctorate degrees conferred by:
the University of McGill in Canada
University College London
Herriot Watt in Scotland

She is a Foreign Member of the Royal Swedish Academy of Agriculture and Forestry and the International Center for Tropical Agriculture.

Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni!

Kweli, what else should this woman prove kwamba she is an accomplished woman with impeccable credentials?

Hata Migiro she has accomplished in her own right and stand, but mama Tibaijuka...well, the record speaks volume than million words!

Masanja,
 
Record yake ni excellent, lakini umri wake umeenda sana ..
 
Mkuu FMEs, naomba nitofautiane na wewe kidogo hapa. Nafasi ya Migiro ni ya kiasiasa zaidi na ile ya Mama Tibaijuka ni ya utendaji.

Kimadaraka, Migiro ana madaraka makubwa kuliko Mama Tibaijuka.

Ni kama nafasi ya waziri na katibu mkuu katika wizara. Wakati nafasi ya Waziri ni ya kisiasa na hautajiki kuwa na utaalamu wa wizara unayoiongoza wakati katibu katibu mkuu under normal circumstances anapashwa awe mtaalamu. Ndivyo walivyo Migiro na Mama Tibaijuka.

Tunaweza tukawa tunajaribu kulinganisha vyeo visivyolinganishika. Na wala siamini kwamba Migiro aliteuliwa kuwa msaidizi wa wa Ban kwa kigezo cha performamce records. Performance records zipi hizo?

Tiba

- Ahsante sana kaka kwa kukubali fact, Case Closed!

Respect.


FMEs!
 
Something serious must have happened on this river to change its course to Tibaijuka kumvaa Migiro.
This is JF! lest we change its identity to Home of Great Flip - Floppers
 
Back
Top Bottom