Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Mkuu GS, heshima yako kwani kuna tofauti yoyote between the two?
Respect.
FMEs!
Tofauti zipo Mkuu.Anaweza akataka kugombea ili awe Waziri na sio kuwa Mbunge kama Mbunge.Mimi naona nayaoyafanya yanatosha wala hahitaji tena kuanza kugombea ubunge ndo maana nina mashaka na nia yake ya Ubunge.It is Obvious anataka Uwaziri na sio kwa kuwatetea wananchi kwani mawaziri wapo wapo tu always on govet side kwani ndio serikali yenywe.Bora hata Mbunge anaweza akasaidia wananchi.