Nina mtoo wa mwaka mmja amekuwa akisumbuliwa na pneumonia kila baada ya wiki mbili.Najitahidi kumvalisha nguo nzito kukiwa na baridi kakini haisaidii.Amechomwa X-pen mpaka ****** yamekakamaa naombeni ushauri wa tiba ya kudumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.