Tiba ya loliondo

anania

Member
Jul 2, 2010
83
8
KWA UPANDE WANGU TIBA YA LOLIONDO SI TIBA YA IMANI BALI NI TIBA YA ASILI.NASEMA HIVYO SI KWA SABABU YA USHABIKI WA UPANDE WOWOTE ILA NI KWA SABABU YA HISTORIA YA YA MTI HUO YA KUTUMIKA KUTIBU MAGONJWA TAJWA TOKA KIPINDI CHA MABABU ZETU.KATIKA KILA SEHEMU YA TANZANIA KUNA BAADHI YA WAZEE AMBAO HUWA WANATOA TIBA ZA ASILI KATIKA KIJIJI AU MJI FULANI.NA KUNA NJIA MAALUM ZA KURITHISHA UWEZO HUU WA KUTOA DAWA.KWANI ANAYEPEWA MIKOBA YA KUANZA KUTOA DAWA NI YULE ALIYEKUWA MSAIDIZI WA MZEE HUSIKA NA PANAKUWA PANA USIRI FULANI WA KUTOA DAWA ILI KUTO KUHARIBU BIASHARA YAO YA DAWA.HUU MTI KITAALAM UNAITWA carissa edulis ULIANZA KUTAFITIWA NCHI YA SOUTH AFRICA TOKA MWAKA 1976 NA KWA SABABU UTAFITI WA KWELI SI WAKUKURUPUKA PENGINE WENZETU WALIONA KUNA MAFANIKIO AU TOFAUTI, NA PENGINE WALIWEKA USIRI ILIKUPATA HATI MILIKI YA TIBA HIYO MIMI NA WEWE HATUJUI.KUMBUKA KUWA KILA DAWA INAYOTUMIKA INA MREJESHO HASI WAKE(SIDE EFFECTS) KWA HIYO HATUJUI FAIDA NA MADHARA YAKE BAADA YA MIEZI KADHAA AU MIAKA KADHAA.PIA WENZETU WA S.AFRICA WAKO MSTARI WA MBELE SANA KTK TAFITI ZA HIV.NDUGU ZANGU WATANZANIA NAWASHAURI SI KILA KITU UNACHOSIKIA KIPO KAMA ULIVYO AMBIWA NAOMBENI SANA TENA SANA KUKIFANYIA UCHUNGUZI JAPO KIDOGO KITU HUSIKA.NADHANI IMEFIKA KIPINDI AMBACHO HATA DAWA UKIANDIKIWA NA DAKTARI UJIRIDHISHE KWA KUGOOGLE KUJUA UHALISIA WAKE.HII IMENIKUMBA SANA KWANI UTASHANGAA WENGINE WANA KUOVERDOSE AU KUKUUNDERDOSE.KUNA TATIZO KUBWA LINALOTUSUMBUA WATANZANIA LA KUTOKUJISUMBUA KUTAFUTA UKWELI PENGINE TUNAFANYA HIVYO KDUMISHA AMANI MIMI SIJUI.NAOMBA WATANZANIA TUFUNGUKE KWANI MUNGU HAWEZI KJITOKEZA KWA KITU AMBACHO KINAFANYIWA UTAFITI KWANI MUNGU SI MWANADAMU MPAKA AIGE JITIHADA ZA MWANADAMU.
 
KWA UPANDE WANGU TIBA YA LOLIONDO SI TIBA YA IMANI BALI NI TIBA YA ASILI.NASEMA HIVYO SI KWA SABABU YA USHABIKI WA UPANDE WOWOTE ILA NI KWA SABABU YA HISTORIA YA YA MTI HUO YA KUTUMIKA KUTIBU MAGONJWA TAJWA TOKA KIPINDI CHA MABABU ZETU.KATIKA KILA SEHEMU YA TANZANIA KUNA BAADHI YA WAZEE AMBAO HUWA WANATOA TIBA ZA ASILI KATIKA KIJIJI AU MJI FULANI.NA KUNA NJIA MAALUM ZA KURITHISHA UWEZO HUU WA KUTOA DAWA.KWANI ANAYEPEWA MIKOBA YA KUANZA KUTOA DAWA NI YULE ALIYEKUWA MSAIDIZI WA MZEE HUSIKA NA PANAKUWA PANA USIRI FULANI WA KUTOA DAWA ILI KUTO KUHARIBU BIASHARA YAO YA DAWA.HUU MTI KITAALAM UNAITWA carissa edulis ULIANZA KUTAFITIWA NCHI YA SOUTH AFRICA TOKA MWAKA 1976 NA KWA SABABU UTAFITI WA KWELI SI WAKUKURUPUKA PENGINE WENZETU WALIONA KUNA MAFANIKIO AU TOFAUTI, NA PENGINE WALIWEKA USIRI ILIKUPATA HATI MILIKI YA TIBA HIYO MIMI NA WEWE HATUJUI.KUMBUKA KUWA KILA DAWA INAYOTUMIKA INA MREJESHO HASI WAKE(SIDE EFFECTS) KWA HIYO HATUJUI FAIDA NA MADHARA YAKE BAADA YA MIEZI KADHAA AU MIAKA KADHAA.PIA WENZETU WA S.AFRICA WAKO MSTARI WA MBELE SANA KTK TAFITI ZA HIV.NDUGU ZANGU WATANZANIA NAWASHAURI SI KILA KITU UNACHOSIKIA KIPO KAMA ULIVYO AMBIWA NAOMBENI SANA TENA SANA KUKIFANYIA UCHUNGUZI JAPO KIDOGO KITU HUSIKA.NADHANI IMEFIKA KIPINDI AMBACHO HATA DAWA UKIANDIKIWA NA DAKTARI UJIRIDHISHE KWA KUGOOGLE KUJUA UHALISIA WAKE.HII IMENIKUMBA SANA KWANI UTASHANGAA WENGINE WANA KUOVERDOSE AU KUKUUNDERDOSE.KUNA TATIZO KUBWA LINALOTUSUMBUA WATANZANIA LA KUTOKUJISUMBUA KUTAFUTA UKWELI PENGINE TUNAFANYA HIVYO KDUMISHA AMANI MIMI SIJUI.NAOMBA WATANZANIA TUFUNGUKE KWANI MUNGU HAWEZI KJITOKEZA KWA KITU AMBACHO KINAFANYIWA UTAFITI KWANI MUNGU SI MWANADAMU MPAKA AIGE JITIHADA ZA MWANADAMU.

Kwanza hueleweki

Pili umebabananisha maandishi na hakuna paragraph inachosha kusoma.

tatu nakushauri ukanywe kikombe cha babu nahisi km unachanganyikiwa na una upungufu wa kuelewa mambo madogo madogo ktk ubongo wako. Ni vyema uwahi kabla dawa haijaisha.
 
sijaona point yoyoye hapo serikali imeshaipeleka maabara na kuangalia side effect za hiyo dawa na wataalam wamesema ipo salama kwa hiyo wacha kuwakatisha tamaa wananchi wewe kama huamini kaa kimya acha kupotosha.ua unataka mpaka wagundue wazungu ndio uamini ?dawa zote hutakana na mimea hata zile za mahospitalini kwa hiyo mungu kamfunulia babu hiyo tiba mwenye kuamini ahamini asiye amini akae kimya
 
KWA UPANDE WANGU TIBA YA LOLIONDO SI TIBA YA IMANI BALI NI TIBA YA ASILI.NASEMA HIVYO SI KWA SABABU YA USHABIKI WA UPANDE WOWOTE ILA NI KWA SABABU YA HISTORIA YA YA MTI HUO YA KUTUMIKA KUTIBU MAGONJWA TAJWA TOKA KIPINDI CHA MABABU ZETU.KATIKA KILA SEHEMU YA TANZANIA KUNA BAADHI YA WAZEE AMBAO HUWA WANATOA TIBA ZA ASILI KATIKA KIJIJI AU MJI FULANI.NA KUNA NJIA MAALUM ZA KURITHISHA UWEZO HUU WA KUTOA DAWA.KWANI ANAYEPEWA MIKOBA YA KUANZA KUTOA DAWA NI YULE ALIYEKUWA MSAIDIZI WA MZEE HUSIKA NA PANAKUWA PANA USIRI FULANI WA KUTOA DAWA ILI KUTO KUHARIBU BIASHARA YAO YA DAWA.HUU MTI KITAALAM UNAITWA carissa edulis ULIANZA KUTAFITIWA NCHI YA SOUTH AFRICA TOKA MWAKA 1976 NA KWA SABABU UTAFITI WA KWELI SI WAKUKURUPUKA PENGINE WENZETU WALIONA KUNA MAFANIKIO AU TOFAUTI, NA PENGINE WALIWEKA USIRI ILIKUPATA HATI MILIKI YA TIBA HIYO MIMI NA WEWE HATUJUI.KUMBUKA KUWA KILA DAWA INAYOTUMIKA INA MREJESHO HASI WAKE(SIDE EFFECTS) KWA HIYO HATUJUI FAIDA NA MADHARA YAKE BAADA YA MIEZI KADHAA AU MIAKA KADHAA.PIA WENZETU WA S.AFRICA WAKO MSTARI WA MBELE SANA KTK TAFITI ZA HIV.NDUGU ZANGU WATANZANIA NAWASHAURI SI KILA KITU UNACHOSIKIA KIPO KAMA ULIVYO AMBIWA NAOMBENI SANA TENA SANA KUKIFANYIA UCHUNGUZI JAPO KIDOGO KITU HUSIKA.NADHANI IMEFIKA KIPINDI AMBACHO HATA DAWA UKIANDIKIWA NA DAKTARI UJIRIDHISHE KWA KUGOOGLE KUJUA UHALISIA WAKE.HII IMENIKUMBA SANA KWANI UTASHANGAA WENGINE WANA KUOVERDOSE AU KUKUUNDERDOSE.KUNA TATIZO KUBWA LINALOTUSUMBUA WATANZANIA LA KUTOKUJISUMBUA KUTAFUTA UKWELI PENGINE TUNAFANYA HIVYO KDUMISHA AMANI MIMI SIJUI.NAOMBA WATANZANIA TUFUNGUKE KWANI MUNGU HAWEZI KJITOKEZA KWA KITU AMBACHO KINAFANYIWA UTAFITI KWANI MUNGU SI MWANADAMU MPAKA AIGE JITIHADA ZA MWANADAMU.
ofisi za shekoslovakia ukiandika kama hivi wanakufukuza kazi.

bek to ze topik: tumekuelewa
 
ningependa sana kuusoma ujumbe wako lakini maandishi yananifanya nasikia makengeza
 
avatar20103_18.gif


Daah! ! Hivi kupata kikombe Loliondo ni mara moja tu maishani? Maana kila nikiuona mgongo huu ...
 
ningependa sana kuusoma ujumbe wako lakini maandishi yananifanya nasikia makengeza

kafarasi ka mleta sredi kanakimbilia loliondo kakaongezwe miguu ya nyuma.

bek to ze topik: asante sana kwa maelezo @mleta sredi
 
avatar20103_18.gif


Daah! ! Hivi kupata kikombe Loliondo ni mara moja tu maishani? Maana kila nikiuona mgongo huu ...
mkuu ushawahi kulogwa tumbo likakaa magotini? unaombwa kusitisha mawasiliano na preta haraka iwezekanavyo. ni amri sio ombi. asante kwa mashirikiano
 
KWA UPANDE WANGU TIBA YA LOLIONDO SI TIBA YA IMANI BALI NI TIBA YA ASILI.NASEMA HIVYO SI KWA SABABU YA USHABIKI WA UPANDE WOWOTE ILA NI KWA SABABU YA HISTORIA YA YA MTI HUO YA KUTUMIKA KUTIBU MAGONJWA TAJWA TOKA KIPINDI CHA MABABU ZETU.KATIKA KILA SEHEMU YA TANZANIA KUNA BAADHI YA WAZEE AMBAO HUWA WANATOA TIBA ZA ASILI KATIKA KIJIJI AU MJI FULANI.NA KUNA NJIA MAALUM ZA KURITHISHA UWEZO HUU WA KUTOA DAWA.KWANI ANAYEPEWA MIKOBA YA KUANZA KUTOA DAWA NI YULE ALIYEKUWA MSAIDIZI WA MZEE HUSIKA NA PANAKUWA PANA USIRI FULANI WA KUTOA DAWA ILI KUTO KUHARIBU BIASHARA YAO YA DAWA.HUU MTI KITAALAM UNAITWA carissa edulis ULIANZA KUTAFITIWA NCHI YA SOUTH AFRICA TOKA MWAKA 1976 NA KWA SABABU UTAFITI WA KWELI SI WAKUKURUPUKA PENGINE WENZETU WALIONA KUNA MAFANIKIO AU TOFAUTI, NA PENGINE WALIWEKA USIRI ILIKUPATA HATI MILIKI YA TIBA HIYO MIMI NA WEWE HATUJUI.KUMBUKA KUWA KILA DAWA INAYOTUMIKA INA MREJESHO HASI WAKE(SIDE EFFECTS) KWA HIYO HATUJUI FAIDA NA MADHARA YAKE BAADA YA MIEZI KADHAA AU MIAKA KADHAA.PIA WENZETU WA S.AFRICA WAKO MSTARI WA MBELE SANA KTK TAFITI ZA HIV.NDUGU ZANGU WATANZANIA NAWASHAURI SI KILA KITU UNACHOSIKIA KIPO KAMA ULIVYO AMBIWA NAOMBENI SANA TENA SANA KUKIFANYIA UCHUNGUZI JAPO KIDOGO KITU HUSIKA.NADHANI IMEFIKA KIPINDI AMBACHO HATA DAWA UKIANDIKIWA NA DAKTARI UJIRIDHISHE KWA KUGOOGLE KUJUA UHALISIA WAKE.HII IMENIKUMBA SANA KWANI UTASHANGAA WENGINE WANA KUOVERDOSE AU KUKUUNDERDOSE.KUNA TATIZO KUBWA LINALOTUSUMBUA WATANZANIA LA KUTOKUJISUMBUA KUTAFUTA UKWELI PENGINE TUNAFANYA HIVYO KDUMISHA AMANI MIMI SIJUI.NAOMBA WATANZANIA TUFUNGUKE KWANI MUNGU HAWEZI KJITOKEZA KWA KITU AMBACHO KINAFANYIWA UTAFITI KWANI MUNGU SI MWANADAMU MPAKA AIGE JITIHADA ZA MWANADAMU.

Ni ushauri mzuri, naomba ujue watu wanapona iwe kwa imani au herb yenyewe. acha watu wenye magonjwa wakapone, wewe huumwi
 
So kwa mujibu wa mtoa mada, inamaanisha kuwa ile dawa anayotoa babu hata ikitolewa na mtu mwingine(tofauti na babu) watu watapona kama kawa?
Na hata ikitolewa mbali na Loliondo pia watu watapona?
Maana moja ya masharti ni kwamba dawa ni lazma itolewe na babu mwenyewe na pia ni lazma itolewe Loliondo.
 
Back
Top Bottom