Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,321
Kumbe na wewe ushamstukia PJ yaani huwa anamtetea kweli babu!!!PakaJimmy njoo utetee hapa
Kumbe na wewe ushamstukia PJ yaani huwa anamtetea kweli babu!!!PakaJimmy njoo utetee hapa
Nonsense,kinaponya hakiponyi ni wangapiwameshaaenda na wamekufa au wako hai?? hatuna serikali tuna genge la majambazi.....
no comments.
Whats ur point?Unasema usichojua, hospitali ngapi, chemists ngapi zinatoa dawa fake na kuishia kuua watu?!
Unajua suala la tiba bwana ni suala la kibinafsi..sasa wewe kama unaumwa utakuwa unasubiri serikali ndo ikuambie katibiwe pale..kwa hiyo waliokwenda kwa babu mimi siwalaumu ni matakwa yao binafsi..After all kama umeenda na umepona hivi hata serikali ikisema haitambui hiyo tiba wewe unaathirika nini??..Nadhani imefikia sasa watanzani wenyewe kuwa wadadisi sio tu kufuata mkumbo..oh mbona waziri fulani kafanya..oh mbona mbunge flani kafanya..''fanya unaloona lina manufaa kwako na iga pale unapoona juhudi zako zimeshindwa''