Bora waliosema ccm sio baba wala mama yangu kwa hiyo naweza kuhama wakati wowote kuanzia sasa...................hao wangekuwepo mpaka sasa (shukuru wametangulia mbele ya haki) wangekuwa wamehama na ccm hii ovu na ongo isingeendelea kudanganya watz................
Ikulu gani yenyewe imekuwa mradi wa familia ya kikwete?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.