Kwako wewe kuuliza ni uvivu eeh???!!! PoleAcha uvivu, tafuta kamusi
Kwako wewe kuuliza ni uvivu eeh???!!! Pole
Wewe una uhakika gani kuwa liko ndani ya uwezo wangu?Kuuliza sio Uvivu, bali uvivu ni kuuliza swali ambalo liko ndani ya uwezo wakom ushauri umepewa mzuri TAFUTA KAMUSI
Wewe una uhakika gani kuwa liko ndani ya uwezo wangu?
Asante Mkuu Mayenga, uzoefu wako umekuwa muhimu kuliko utaalamuthread ni link yako mwenyewe unayoanzisha and then unasubiri wengine wachangie,kama swali lako linavyouliza hiyo ndiyo thread.Post ni mchango wako kwa thread za watu wengine,kama nilivyofanya kwa swali lako.Lakini thread kwakuwa thread inakuwa posted,nayo pia ni post.DISCLAIMER Maana hii imejikita katika mazoea zaidi si ya kitaalamu