- Thread starter
- #101
Jole mphamvu na bakonzi... mutu ya mbombela!
Mweeeee
Jole mphamvu na bakonzi... mutu ya mbombela!
Huyu sio mgeni jamani..huyu kaja na ID mpya tu lakini mwenyeji kabisa..Nimegundua wewe si mgeni kabisa
panga folen kwanza.hata mimi nilichuniwa.ukisikia JF ni ya ma-great thinkers juwa ni great thinkers kweli kweli.wanakutafakari kwanza.huku sioNina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
Hii inafaa sana kuichakachua. Habari yako binafsi
jaribu...
Ngoja nichangieNina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
Watoto
nimeipenda hii,halafu aache malalamiko mbona hii tunachangia jamani,
Nimegundua wewe si mgeni kabisa
Atakua Rejao huyu
Sweetlady kamdefine vizur sana..huoni hata mwandiko unefanana na wa mwta?
Nimemmiss mwita25, mwandiko wako unafanana na wake..