Thread zangu hazichangiwi

Nina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
panga folen kwanza.hata mimi nilichuniwa.ukisikia JF ni ya ma-great thinkers juwa ni great thinkers kweli kweli.wanakutafakari kwanza.huku sio
kama facebook-kule ukitoa topic makin hazichagiwi ila za kijingajinga zinapata wachangiaji kibao.
 
Back
Top Bottom