Mbadala sahihi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 280
- 139
ninataka niende mwanza tarehe 26 July, 2016. gar gani salama na huduma bora kwa sasa maana nina siku mingi cjaenda hii njia . natokea Dar
Nakushauri panda bus la Tabora mojaHabar za jumapili wakuu naomba msaada kwa anayejua nauli na aina ya manas yanayoenda tabora @falcom Mombasa
Panda kisesa mkuuninataka niende mwanza tarehe 26 July, 2016. gar gani salama na huduma bora kwa sasa maana nina siku mingi cjaenda hii njia . natokea Dar
Ningependa kujua nauli na umbali mkuu yaan ntatumia mda gan kufka hukoNakushauri panda bus la Tabora moja
Al saedy ni gari za ovyoUkibahatika kulipata friends hutojutia uamuzi wako
Kampuni ya ndege panda Emirates au Etihadnataka kwenda honeymoon sychells ama israel........ vp unaweza kunipa tips about that mkuu???.......... i mean kampuni nzuri za usafirishaji, hali ya huko etc
Au KQ maana emirates lazima upelekwe mpka Dubai so utapoteza muda tuunataka kwenda honeymoon sychells ama israel........ vp unaweza kunipa tips about that mkuu???.......... i mean kampuni nzuri za usafirishaji, hali ya huko etc
Mkuu mimi sijabahatika kuzipanda hizoAl saedy ni gari za ovyo
Mimi namshauri asubiri apande air tanzania corporationKampuni ya ndege panda Emirates au Etihad
Kwa ndege ipi xxMimi namshauri asubiri apande air tanzania corporation
Mkuu Kq nayo Nairobi umepasahau??Au KQ maana emirates lazima upelekwe mpka Dubai so utapoteza muda tuu
Kama utachagua Israel nakushauri panda Egypt air, bei yake ni nzuri na huduma zake zinaridhisha kulingana na bei yake.nataka kwenda honeymoon sychells ama israel........ vp unaweza kunipa tips about that mkuu???.......... i mean kampuni nzuri za usafirishaji, hali ya huko etc
Panda Otta High class wako vizurininataka niende mwanza tarehe 26 July, 2016. gar gani salama na huduma bora kwa sasa maana nina siku mingi cjaenda hii njia . natokea Dar
Za ovyo sana maana seat zke cyo 2×2 na walichofnya wameongeza seat ili wapakie abiria wengi so full mbanano, kwa moro usafiri ni Abood zile Youtong ndyo nzuriMkuu mimi sijabahatika kuzipanda hizo
Wewe huna nia njema na bavicha kwani kwa kuliweka jina la bus hapa mtandaoni mtawakuta polisi wanawasubiria singida
Mkuu mimi kinacho nikera sana ni tatizo la kubanana mfano unatoka mwanza kuja dar yaani unajikunja kwenye siti kama kambale na hilo linanifanya niyachukie mabus products za kichinaZa ovyo sana maana seat zke cyo 2×2 na walichofnya wameongeza seat ili wapakie abiria wengi so full mbanano, kwa moro usafiri ni Abood zile Youtong ndyo nzuri
Hata hao otta tatizo ni mbanano kwenye siti yaani abiria unafika miguu imejikunjaPanda Otta High class wako vizuri
Aiseee hawana seat za 2×2 ?Hata hao otta tatizo ni mbanano kwenye siti yaani abiria unafika miguu imejikunja