Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
:rain:umechanganyikiwa mapema hivyo babu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:rain:umechanganyikiwa mapema hivyo babu??
dahhhh
sikujua hilo...
Kumbe hata MOD wanafungiwa
kasheshe mpauko.. Ni ngumu kufikiri mtu kama PAW anakula ban.. lol..
I'm just wondering
ni aliomba kushushwa hadhi nikimaanisha "title"
au ni moja ya rules zao?
ahh AD madaraka matamu sidhani kama aliomba kushushwa title au ni sheria zao. Lakini ye mwenyewe anadai bado moderating tools anazo.. labda wameshusha cheo kama onyo lakini anaendelea kuwa MOD .. sababu bado hatujatangaziwa Mod mpya Kule.
Mi sikujua kwamba Mods wanapigana Ban! hehe! nilishangaa kweli
Hahahahaaa, haya bhana kama ni kweli ila angalia usije kuwa umeambikizwa tabia za Kongosho
Yuko Chi Chat huko anafundishwa kutongoza
Nabisha ndio
Hahahahaaa, haya bhana kama ni kweli ila angalia usije kuwa umeambikizwa tabia za Kongosho
Yuko Chi Chat huko anafundishwa kutongoza
Mi sibishi kabisa ila nasema tu WE MCHONGANISHI
Binafsi tread mbili ambazo sinto kaa nisahau maishani mwangu ni hizi
ya Babu Asprin kuhusu mwanajamvi mwenzetu "Chentuntu"
[h=1]Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!![/h]na thread nyingine iliyonigusa sana ni
jinsi wana JF walivyojitolea kumsaidia kijana
Abbasi..
[h=1]Wana JF tumsaidie kijana huyu![/h]Hizo ndo thread zangu za mwaka huu na miaka mia ijayo sintokaa nizisahau..
Siogopi bhana ila i dnt fight with women