Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
sawa..........Haya maisha tumepiga sana.
Tena shuleni kwangu ilikuwa tunapiga hadi vibarua kwa ma'bourgouisie wa kijijini wenye senti zao.
Ila picha hii imekuwa exaggerated maana haiwezekani mtoto alime na uniform namna hiyo. siku ya jembe ilikuwa jembe la ukweli na mnavaa nguo za nyumbani.
hii kama sio mwanza basi ni shy ndio sare zao hizo na kule hakuna cha zaidi ya kuvunja kokoto mlimani..
kilimanjaro huko wazeyahii kama sio mwanza basi ni shy ndio sare zao hizo na kule hakuna cha zaidi ya kuvunja kokoto mlimani..
kaka hapana, jembe na unifo ilikua kawaida mbona.Haya maisha tumepiga sana.
Tena shuleni kwangu ilikuwa tunapiga hadi vibarua kwa ma'bourgouisie wa kijijini wenye senti zao.
Ila picha hii imekuwa exaggerated maana haiwezekani mtoto alime na uniform namna hiyo. siku ya jembe ilikuwa jembe la ukweli na mnavaa nguo za nyumbani.
Haya maisha tumepiga sana.
Tena shuleni kwangu ilikuwa tunapiga hadi vibarua kwa ma'bourgouisie wa kijijini wenye senti zao.
Ila picha hii imekuwa exaggerated maana haiwezekani mtoto alime na uniform namna hiyo. siku ya jembe ilikuwa jembe la ukweli na mnavaa nguo za nyumbani.